Heavy Weight
JF-Expert Member
- Mar 1, 2014
- 888
- 875
- Thread starter
- #281
Inawezekana maana sio kwa foleni hiziDuh.. Wanawake wanatisha kwa kweli.. Naskia wao hawaogopi ukimwi, wanaogopa tu mimba!
Mtu Mzito HEAVY WEIGHT
Inawezekana maana sio kwa foleni hiziDuh.. Wanawake wanatisha kwa kweli.. Naskia wao hawaogopi ukimwi, wanaogopa tu mimba!
Hiyo sms imeniuma hadi mimiMimi nilimchunguza wasap na nikagundua kila kitu na akapigiwa simu akajiandaa mi nipo kitandani akanambia anaenda bank akajiandaa akaondoka zake. Akiwa njiani alituma bonge la sms kuwa NIKOME KABISA KUSHIKA SIMU YAKE NA KUMUHARIBIA UHUSIANO WAKE NA WATU WA KARIBU iliniuma sanaaa sikujibu lolote. Nilikuja kuona kajiengua mwenyewe tu
Wanaume sisi huwa ni wajanja. Lazima atakushtukia tu kwamba unamdukua halafu ATAKASIRIKA SANAAhsante sana ila mie ni ke
Kama ni mdadisi anaweza kushtukia ila kama sio mdadisi anaweza kuingia mtegoniWanaume sisi huwa ni wajanja. Lazima atakushtukia tu kwamba unamdukua halafu ATAKASIRIKA SANA
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila ni bora tu umchane ukweli ili uwe huru nafsini maana ukiamua kuondoka kimya kimya nadhani sio poaNaam hapo ndipo tunapojifunza siku hadi siku. Makosa hayawezi kujirudia. Japo aliendelea kutaka nimrudie nikampotezea