Usimtukane mamba kabla hujavuka mto. Mikopo yawanasisha wabunge wa CHADEMA kwenye mtego wa Spika Ndugai

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,840
141,763
Wameanza Wakala wa Majengo ( TBA) kuwadai moja kwa moja wabunge kodi za pango bila kupitia ofisi ya Katibu wa bunge.
Ulipoombwa mwongozo bungeni waziri wa ujenzi mh Kamwelwe alisema mikataba hiyo ni binafsi kati ya TBA na wabunge hivyo wabunge wapambane na hali zao.

Kinachoendelea ni benk mbalimbali kuwataka wabunge walipe mikopo yao kabla bunge halijavunjwa na inasemekana kuna " janja janja" nyingi kwenye hiyo mikopo hivyo wabunge wengi wakiwemo wa CCM kuhitaji msaada wa Spika ili wavuke salama.

Hapo kwenye mikopo ya benki ndipo patawalazimu wabunge wengi wa Chadema wakiwemo wale wasiotarajiwa kujisalimisha CCM baada ya sikukuu ya Eid

Nawatakia sabato yenye baraka.

Maendeleo hayana vyama
 
Wameanza wakala wa majengo ( TBA) kuwadai moja kwa moja wabunge kodi za pango bila kupitia ofisi ya Katibu wa bunge.
Ulipoombwa mwongozo bungeni waziri wa ujenzi mh Kamwelwe alisema mikataba hiyo ni binafsi kati ya TBA na wabunge hivyo wabunge wapambane na hali zao.

Kinachoendelea ni benk mbalimbali kuwataka wabunge walipe mikopo yao kabla bunge halijavunjwa na inasemekana kuna " janja janja" nyingi kwenye hiyo mikopo hivyo wabunge wengi wakiwemo wa CCM kuhitaji msaada wa Spika ili wavuke salama.

Hapo kwenye mikopo ya benki ndipo patawalazimu wabunge wengi wa Chadema wakiwemo wale wasiotarajiwa kujisalimisha CCM baada ya sikukuu ya Eid

Nawatakia sabato yenye baraka.

Maendeleo hayana vyama!
Ahaaaaaa....Teeeeeeh😀
 
Wameanza wakala wa majengo ( TBA) kuwadai moja kwa moja wabunge kodi za pango bila kupitia ofisi ya Katibu wa bunge.
Ulipoombwa mwongozo bungeni waziri wa ujenzi mh Kamwelwe alisema mikataba hiyo ni binafsi kati ya TBA na wabunge hivyo wabunge wapambane na hali zao.

Kinachoendelea ni benk mbalimbali kuwataka wabunge walipe mikopo yao kabla bunge halijavunjwa na inasemekana kuna " janja janja" nyingi kwenye hiyo mikopo hivyo wabunge wengi wakiwemo wa CCM kuhitaji msaada wa Spika ili wavuke salama.

Hapo kwenye mikopo ya benki ndipo patawalazimu wabunge wengi wa Chadema wakiwemo wale wasiotarajiwa kujisalimisha CCM baada ya sikukuu ya Eid

Nawatakia sabato yenye baraka.

Maendeleo hayana vyama!
Mbona kama lengo la uzi ni kuwasemea chadema tuu
 
Shauri yao, kwani si walikopa wakatumia wenyewe? Watumishi wanaohangaika hawakopesheki na vi take home vya nyanya hatuwafikirii tunawazia mtu anayelipwa perdiem na sitting allowance bado ana sendoff package mwishoni.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom