Fisadi.Jones
Senior Member
- Aug 15, 2008
- 110
- 7
Jamani hii nimeona nishee na wenzangu hasa wale wakaazi wa Mwanza.
Kuna hii hospitali ya Kwa Kilonzo ambayo inajulikana kama ndio best kwa wanaojifungua.
Lakini ukweli ni kwamba wana tabia mbaya sana ya kulazimishia operation badala ya kujifungua kawaida, hata kama umuhimu wake hakuna. Yaani wanajitahidi juu chini kuhakikisha wanakufanyia opeation.
Wapo kadhaa ninaowajua ambao walilazimishiwa operation wakagoma, wakaenda bugando na wakajifungua kawaida safi.
Sasa hivi imekuwa kama ni open secret kwamba mama akienda Kwa Kilonzo ni kisu tu.
Kwa hiyo chungeni.
Kikubwa kinachowavutia kufanya hivyo ni tofauti ya zaidi ya 500,000 kati ya anayejifungua kwa operesheni na anayejifungua kawaida.
Kuna hii hospitali ya Kwa Kilonzo ambayo inajulikana kama ndio best kwa wanaojifungua.
Lakini ukweli ni kwamba wana tabia mbaya sana ya kulazimishia operation badala ya kujifungua kawaida, hata kama umuhimu wake hakuna. Yaani wanajitahidi juu chini kuhakikisha wanakufanyia opeation.
Wapo kadhaa ninaowajua ambao walilazimishiwa operation wakagoma, wakaenda bugando na wakajifungua kawaida safi.
Sasa hivi imekuwa kama ni open secret kwamba mama akienda Kwa Kilonzo ni kisu tu.
Kwa hiyo chungeni.
Kikubwa kinachowavutia kufanya hivyo ni tofauti ya zaidi ya 500,000 kati ya anayejifungua kwa operesheni na anayejifungua kawaida.