britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 15,636
- 30,004
Kwanza naanza kwa ku declare interest kwamba hizi teuzi za kufanya kwa vetting za ajabu zinaumiza taifa,
Kwanza alipochaguliwa Jokate nilishtuka, nkaona kama kumekuwepo kukurupuka katika nafasi hio,
Maana jokate kashindwa kazi ya CCM ameikwaa ya Ukuu wa wilaya?
Tunajua ukuu wa wilaya ni political post, lakin inabidi uwe na sifa ambazo zinakufanya angalau uipate nafasi hiyo,
Niliumia kuona vijana chipukizi wenye weledi mkubwa kama Magoiga Sn,Dickson Daniel, Asenga Abubakari, kina Jerry slaa wanaachwa wanakuja kuchukuliwa warembo,
Niliumia mno kwa mambo haya, lakin nkasema usimbeze mtu mfuatilie kwanza,
Nikaja kugundua kupitia dakika tano tu za alichoongea na kueleza kwamba huyu ana kitu hidden ama ni alikuwa ana aibu kuongoza au hakupata fursa, ama
Nikapata kuangalia video hii nimegundua
1. Anajiamini
2. Ana uwezo wa kudanganya umma kwendana na mkuu wake
3. Habari za media anaziweza kuziteka
Maana ndo kazi ya upolitical posts
Najua we umeona mabaya tu ,tueleze.moja tu ulilokubali kwake
Kwanza alipochaguliwa Jokate nilishtuka, nkaona kama kumekuwepo kukurupuka katika nafasi hio,
Maana jokate kashindwa kazi ya CCM ameikwaa ya Ukuu wa wilaya?
Tunajua ukuu wa wilaya ni political post, lakin inabidi uwe na sifa ambazo zinakufanya angalau uipate nafasi hiyo,
Niliumia kuona vijana chipukizi wenye weledi mkubwa kama Magoiga Sn,Dickson Daniel, Asenga Abubakari, kina Jerry slaa wanaachwa wanakuja kuchukuliwa warembo,
Niliumia mno kwa mambo haya, lakin nkasema usimbeze mtu mfuatilie kwanza,
Nikaja kugundua kupitia dakika tano tu za alichoongea na kueleza kwamba huyu ana kitu hidden ama ni alikuwa ana aibu kuongoza au hakupata fursa, ama
Nikapata kuangalia video hii nimegundua
1. Anajiamini
2. Ana uwezo wa kudanganya umma kwendana na mkuu wake
3. Habari za media anaziweza kuziteka
Maana ndo kazi ya upolitical posts
Najua we umeona mabaya tu ,tueleze.moja tu ulilokubali kwake