Huyo mwanamke anafanya makosa, yeye anachotakiwa ni kumwombea mumewe na kuonesha tabia na matendo mema huyo mwanamume ataokoka mwenyewe bila kupigiwa kelele. Nimeona wanawake ambao wameokoka na waume zao hawajaokoka lakini wanaishi kwa amani na mwishoe mwanaume anaamua kuokoka. Mimi naamini kua kuokoka ni neema toka kwa MUNGU si jambo la kumlazimisha ni mpaka nuru ya Bwana imwangazie si kwa maneno ya ukali.