Usimamizi wa upigaji kura igunga, chadema

Alvin Slain

JF-Expert Member
Aug 30, 2011
6,375
3,655
Zimesalia takribani siku 9 ambapo wananchi wa jimbo la igunga watakwenda kumchagua kiongozi ambaye wanadhani atawaletea maendele kutokana na sera zao.ni dhahiri kuwa cdm imepania kulichukua jimbo la ingunga kuanzia hivi sasa na kama cdm wana uhakika wa kushinda je katika usimamizi wa vituo vya kupiga kura cdm wamejipangaje?
 
Zimesalia takribani siku 9 ambapo wananchi wa jimbo la igunga watakwenda kumchagua kiongozi ambaye wanadhani atawaletea maendele kutokana na sera zao.ni dhahiri kuwa cdm imepania kulichukua jimbo la ingunga kuanzia hivi sasa na kama cdm wana uhakika wa kushinda je katika usimamizi wa vituo vya kupiga kura cdm wamejipangaje?
Wakianza kueleza haya hadharani si watawapa nafasi maadui zao kutafuta njia ya kuwa-fix? Ninachoamini ni kuwa kama kweli wana dhamira ya kushinda basi hili watakuwa wameshalifikiria na kuliwekea mikakati
 
sio mikakati tu bali ikiwezekana walale hata kwenye vituo kulinda kura na wasikubali kura zisafirishwe usiku!
 
Mbinu zilizofanyika Arusha na miko mingine zitatumika pia Igunga.chadema ushindi lazma.
 
Back
Top Bottom