naggy
Member
- Apr 27, 2011
- 97
- 152
<p>Tunaomba kujuwa kubadirika kwa taratibu za usimamizi wa mitihani. Tangu lini maafisa wa elimu shule ya msingi, wakaguzi, na wale wa elimu ya watu wazima wameruhusiwa kusimamia mitihani ya kidato cha nne kana kwamba na wao ni walimu? Kwa nini afisa elimu wa wilaya ya meatu anawateuwa tena bila aibu na kuwaacha walimu wake? Au ndo uswaiba kwa vile wote wako pamoja ofisini kama maafisa, wanakunywa chai pamoja? Huyu afisa elimu kawaonaje walimu wa meatu mpaka kawadharau kiasi hiki? Au kwa vile ni wilaya iliyoko pembezoni kabisa? Kusimamia mitihani ni jukumu la mwalim, hata afisa elimu mwenyewe halimuhusu, haruhusiwi kufungua mtihani wala kuingia chumba cha mtihani wakati mitihani inaendelea. Kazi yake ni kupokea mitihani na kuisafirisha. Huo Ujasiri na zarau kaitoa wapi mpaka anafanya hivyo? Anajiamini nini? Au anaukoo na Ndalichako? Na wewe mkurugenzi hulioni hili? Au ndo mpango wenu wa kujineemesha kwa kuwadhurumu walim, kwamba wao ni waoga hawawezi kuhoji? Na kwamba maadili ya ualimu yamewaingia sana? Hizo tamaazenu zitawatokea puani, ENDELEENI!</p>