Joyce joyce
JF-Expert Member
- May 23, 2020
- 457
- 1,973
Wakuu, kuna watu nimeona wakisema kuwa lowassa alijaza watu wengi kuzid Lissu Lakini bado CCM ikashinda, watu Hawa nikama vile wamekosa uchambuzi na uelewa wa kitaalam labda nikuelekezeni
Ni kweli kuwa Lowassa alijaza watu Sana kuliko lisu na kuliko Magufuli na baado CCM ikashindwa, ila Faham kuwa kipindi cha kampeni Ya 2015 na kipindi cha kampeni 2020 kuna utofauti Mkubwa Sana Mwaka 2015 watu walikuwa friendly kiupinzani, watu walikuwa wanachagua Kwa mapenzi wanampenda Nani ndio wanachagua Lakini Faham kuwa kipindi hiki watu wanaenda kuchagua Kwa hasira, hasira za watanzania zitatumika kipindi hiki katika kuchagua tofauti na zamani.
Watu wameteswa, watu wameumizwa, watu wameporwa Mali zao, wakulima wameporwa Mazao yao, wafanyabiashara wamefilisiwa Kwa hila, wafanyakazi wameteswa na kunyimwa haki Zao Kwa ubabe, vijana waliokuwa wanaajiriwa moja Kwa moja walizuiwa kuajiriwa Kwa ubabe, watu wameuwawa, watu wameswekwa magerezani, vikundi vya kigaidi Kama wasiojulikana vilianzishwa kuteka watu, watu wamefungwa Kwa hila, watu wamezuiwa kuwa pesa kila anaepata hela anafuatiliwa, mfano magufuli juzi tu akasema hela zao tutazidhibiti, kuna Siku alisema watu wataishi Kama mashetani, watu wamekufa Kwa mishtuko
Hivyo hao wote hawataenda kupiga kura Kwa Upendo Au Kwa kufuata mkumbo, watapiga kura zao Kwa hasira kubwa, hivyo uliokuwa unawaona Kwa lowasa waligeuka wakapiga kura Kwa magufuli Kwa sababu huko Nyuma wengi Sana walimpenda magufuli kwa sababu hawakujua tabia yake, wengi wao walikuwa na lowassa toka Mwaka 2012 hivyo waliingia kimkumbo Lakini mwishoni karibia na Uchaguzi walimuacha, wasukuma wengi Sana walimchagua magufuli Kwa kigezo cha ukabila pasipo kujua tabia yake kitu ambacho Kwa sasahivi wamegawanyika, wafanyakazi walimchagua mwishoni kutokana na kuwa hawakuwahi kupata madhira Ya haki zao kupokonywa, vijana wengi walimuunga mkono mwishoni Kwa sababu ya ahadi Ya viwanda wakihisi kuwa watapata ajira nyingi na akina mama Vijijini walimpa kura Kwa sababu Ya 50,000,000 kila kijiji, hawa wote walibadilila mwishoni Kabisa muda wa kukaribia kupiga kura na haya pia yalichangiwa na Yule Katibu Mkuu wa chadema, na lipumba kuwageuka wenzao,na akina nchimbi na mama Sofia Simba kubadili maamuzi ya kumuunga lowassa mkono, hivyo kulikuwa na mabadiliko Ya wapiga kura kwenye sanduku yaliyosababishwa Ma mazingira Ya kipindi kile kuwa Hakuna madhara yaliyokuwa yanawatokea wananchi toka Kwa serikali Kama Kwa sasahivi, Kwan sasahivi watu wanahasira Hakuna wa kubadilisha maamuzi,
Pia swala la mikutano Ya kipindi kile ni tofauti na mikutano Ya kipindi hiki, mikutano Ya lisu asilimia tisini wanaoenda watampigia kura, Lakini Kwa magufuli wanaoenda hawawez fika asilimia hamsini watakaompa kura no, Kwan sababu wengi wanaenda Kwa kulazimishwa, kutishwa kufukuzwa Kazi, kutishwa kufukuzwa uwaanachama, na pia kujazwa na watu toka wilaya zooote za Mkoa husika tofauti na lisu ambae anapata watu Wa eneo hilo hilo, pia Faham kuwa magufuli wanaccm karibu asilimia 30 hawatampigia kura wakiwemo makada mbali mbali
Najua wapo watakaopinga Hapa Lakini naomba wakipinga waje na hoja
Ni kweli kuwa Lowassa alijaza watu Sana kuliko lisu na kuliko Magufuli na baado CCM ikashindwa, ila Faham kuwa kipindi cha kampeni Ya 2015 na kipindi cha kampeni 2020 kuna utofauti Mkubwa Sana Mwaka 2015 watu walikuwa friendly kiupinzani, watu walikuwa wanachagua Kwa mapenzi wanampenda Nani ndio wanachagua Lakini Faham kuwa kipindi hiki watu wanaenda kuchagua Kwa hasira, hasira za watanzania zitatumika kipindi hiki katika kuchagua tofauti na zamani.
Watu wameteswa, watu wameumizwa, watu wameporwa Mali zao, wakulima wameporwa Mazao yao, wafanyabiashara wamefilisiwa Kwa hila, wafanyakazi wameteswa na kunyimwa haki Zao Kwa ubabe, vijana waliokuwa wanaajiriwa moja Kwa moja walizuiwa kuajiriwa Kwa ubabe, watu wameuwawa, watu wameswekwa magerezani, vikundi vya kigaidi Kama wasiojulikana vilianzishwa kuteka watu, watu wamefungwa Kwa hila, watu wamezuiwa kuwa pesa kila anaepata hela anafuatiliwa, mfano magufuli juzi tu akasema hela zao tutazidhibiti, kuna Siku alisema watu wataishi Kama mashetani, watu wamekufa Kwa mishtuko
Hivyo hao wote hawataenda kupiga kura Kwa Upendo Au Kwa kufuata mkumbo, watapiga kura zao Kwa hasira kubwa, hivyo uliokuwa unawaona Kwa lowasa waligeuka wakapiga kura Kwa magufuli Kwa sababu huko Nyuma wengi Sana walimpenda magufuli kwa sababu hawakujua tabia yake, wengi wao walikuwa na lowassa toka Mwaka 2012 hivyo waliingia kimkumbo Lakini mwishoni karibia na Uchaguzi walimuacha, wasukuma wengi Sana walimchagua magufuli Kwa kigezo cha ukabila pasipo kujua tabia yake kitu ambacho Kwa sasahivi wamegawanyika, wafanyakazi walimchagua mwishoni kutokana na kuwa hawakuwahi kupata madhira Ya haki zao kupokonywa, vijana wengi walimuunga mkono mwishoni Kwa sababu ya ahadi Ya viwanda wakihisi kuwa watapata ajira nyingi na akina mama Vijijini walimpa kura Kwa sababu Ya 50,000,000 kila kijiji, hawa wote walibadilila mwishoni Kabisa muda wa kukaribia kupiga kura na haya pia yalichangiwa na Yule Katibu Mkuu wa chadema, na lipumba kuwageuka wenzao,na akina nchimbi na mama Sofia Simba kubadili maamuzi ya kumuunga lowassa mkono, hivyo kulikuwa na mabadiliko Ya wapiga kura kwenye sanduku yaliyosababishwa Ma mazingira Ya kipindi kile kuwa Hakuna madhara yaliyokuwa yanawatokea wananchi toka Kwa serikali Kama Kwa sasahivi, Kwan sasahivi watu wanahasira Hakuna wa kubadilisha maamuzi,
Pia swala la mikutano Ya kipindi kile ni tofauti na mikutano Ya kipindi hiki, mikutano Ya lisu asilimia tisini wanaoenda watampigia kura, Lakini Kwa magufuli wanaoenda hawawez fika asilimia hamsini watakaompa kura no, Kwan sababu wengi wanaenda Kwa kulazimishwa, kutishwa kufukuzwa Kazi, kutishwa kufukuzwa uwaanachama, na pia kujazwa na watu toka wilaya zooote za Mkoa husika tofauti na lisu ambae anapata watu Wa eneo hilo hilo, pia Faham kuwa magufuli wanaccm karibu asilimia 30 hawatampigia kura wakiwemo makada mbali mbali
Najua wapo watakaopinga Hapa Lakini naomba wakipinga waje na hoja