Halafu Mr. Rocky ukiiangalia hii Thready yangu nimesema huu ni mtazamo wangu sijui tunabishana nini?
Wala hatubishani tunajaribu kueleweshana na kubadilishana msimamo
Msimamo wako versus msimamo wangu
na ni katika kuyaweka sawa watu wasije wakafikiri kuwa hio ndio hali ya arusha
Hakuna ubishani mkuu