Usilale na Simu

Boflo

JF-Expert Member
Jan 20, 2010
4,384
4,408
10.jpg
.......
 
Still wondering if the problem is to "sleep with the phone" or just staying closer to the phone(most of the time)...bse if it is earlier(that's sleeping with the phone) is when radiation occurs, how does it(cell) know umelala for you to be at risk?
 
mbona hapo ipo mbali sana. vp wakati wachana ipo kwenye mifuko ya shati na suruali. kwa akina mama hata kwenye bra?????
 
Kuna mtu kanitumia ujumbe huu kwenye simu jana:

"Kila usiku saa 6:30 to 9:30 miale ya COSMO itaingia duniani kutoka sayari ya mars. Hivyo zima simu yako usiku na iweke mbali nawe usilale nayo kwa sababu ni miale hatari. Chanzo cha habari ni BBC NEWS tafadhari wape taarifa na wengine. Yaweza kuwa kweli au si kweli la mhimu tusidharau".

Leo asubuhi naikuta hapa, basi tuchukuwe tahadhari
 
Kuna mtu kanitumia ujumbe huu kwenye simu jana:

"Kila usiku saa 6:30 to 9:30 miale ya COSMO itaingia duniani kutoka sayari ya mars. Hivyo zima simu yako usiku na iweke mbali nawe usilale nayo kwa sababu ni miale hatari. Chanzo cha habari ni BBC NEWS tafadhari wape taarifa na wengine. Yaweza kuwa kweli au si kweli la mhimu tusidharau".

Leo asubuhi naikuta hapa, basi tuchukuwe tahadhari

Mkuu, BBC NEWS taarifa ya lini?..na je, "saa 6:30 to 9:30 usiku" ya nchi gani?
 
Mkuu, BBC NEWS taarifa ya lini?..na je, "saa 6:30 to 9:30 usiku" ya nchi gani?

Mkuu, mi tangu nilipotumiwa hiyo sms sijafanya chochote pamoja na kuwa yeye alisisitiza nitume kwa wengine, kwa kawaida maswali ni mengi lakini tahadhari ni tahadhari. Mi sikumbuki mara ya mwisho lini nilisikiliza BBC
 
Last edited by a moderator:
Health Risks and Dangers of Cell Phone Radiation | Mobile Phone Radiation

Don't sleep with your smart phone nearby - CNN.com

Mkuu Blaine, nadhani kuna tofauti KUBWA kati ya kutumia simu kwa masaa mengi na kuongea na simu kwa vipindi vya siku(usiku/mchana)..link nyingi ikiwepo na hizo hapo juu zinaonyesha study zilizofanya kati ya watumiaji wa simu muda kwa masaa mengi na si kwa vipindi vya siku(mchana/au usiku). And that's where my earlier question lies?
my first link shows how phone affects sleep, ya pili the brain talks about more-or-less the same. your 1st link doesn't show any connection btn phones na health hazards except sleep which is temporary. the 2nd inaongelea phone addiction which is annoying but not dangerous, hautakuwa 'teja' wa blackberry lol au kuna kitu nime-miss
 
Duh huu ushauri utaturudihsa kwenye spousal brawls again.........imagine simu ulale nayo mbali si balaa?
 
Hata hyo ya mifukoni nayo ni hatari.ingawa wataalam wanasema effect yake ni baada ya miaka mingi sana ambayo sio calculated kwa binadamu kuishi
 
Hakuna balaa ni mazoea tu.thats why vitanda vya kisasa vina droo ambazo ziko mbavuni mwa kitanda ambazo unaweza kuweka simu yako na sio kuweka chini ya mto.jaribu leo utaona usingizi utakavyokuwa mzuri
 

Similar Discussions

14 Reactions
Reply
Back
Top Bottom