sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,408
- 19,014
"Yani nimejiunga kifurushi cha gb 1 baada ya dakika 5 kimeisha, makampuni ya simu wezi"
Hizo ni baadhi ya kauli za watu wanaodhani wanaibiwa bila kujua kwamba lawama zipo upande wao
Computer zetu hizi za windows zimetengenezwa katika namna ya kwamba endapo kutakuwa kuna updates basi zitaji update kwa kutumia data.
Ili kuzima hizo updates ambazo huwa zinatafuna vifurushi vyetu vyenye ukomo fanya haya
mfano hapa nilipo natumia wifi kupitia simu yangu kwa hotspot.
1. sechi "wifi" kama kwenye picha
2. naminya hapo kwenye wifi yangu nayotumia,
3. Ntawasha sehemu iliyoandikwa metred connection
Kazi imekamilika, Mb zako zhazitatafunwa kiholela
Endapo utatumia wifi nyingine au kubadili jina la wifi hostspot ya simu yako itabidi urudie hizi hatua
Hizo ni baadhi ya kauli za watu wanaodhani wanaibiwa bila kujua kwamba lawama zipo upande wao
Computer zetu hizi za windows zimetengenezwa katika namna ya kwamba endapo kutakuwa kuna updates basi zitaji update kwa kutumia data.
Ili kuzima hizo updates ambazo huwa zinatafuna vifurushi vyetu vyenye ukomo fanya haya
mfano hapa nilipo natumia wifi kupitia simu yangu kwa hotspot.
1. sechi "wifi" kama kwenye picha
2. naminya hapo kwenye wifi yangu nayotumia,
3. Ntawasha sehemu iliyoandikwa metred connection
Kazi imekamilika, Mb zako zhazitatafunwa kiholela
Endapo utatumia wifi nyingine au kubadili jina la wifi hostspot ya simu yako itabidi urudie hizi hatua