Gaga
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 4,558
- 1,968
Yaani Ashadii we acha tu na tusipoitwa hayo majina tunalalamikaje na kujiona wanyonge?mie hapa hata sijui nisemeje maana mambo haya yapo na kila siku yanatukuta ila hatujifunzi kabisa .mie i prefer kumwita mme wangu najua hawezi ita mtu mwingine mke wng coz na yy kazoea wife