mdundo ngoma sana
JF-Expert Member
- Jan 2, 2016
- 1,002
- 954
Ndugu zangu mabondia,mwanamke hatakiwi kutukanwa,anatakiwa athaminiwe kwa kuijaza dunia kupitia matumbo yao.Hivi kwa nini adhihakiwe,nimemuona mada mahugo,akimfananishe bondia mwenziye na mwanamke,pia bondia mbelwa kamfananishe bondia mwenzake kama mwanamke pia.Tafadhalini ngumi zimepoteza hadhi nchini kwa mengi,kwani watu wenye hekima zao wameuona ni mchezo wa wahuni,wavuta bangi,mateja na watu walioshindikana.Azam kuwapa fursa tayari mmeanza kuzingua.Tumieni fursa laa sivyo sisi tunajiendea kubet kwenye football.