Julius Husseni
JF-Expert Member
- Sep 9, 2016
- 1,364
- 1,078
- Thread starter
- #101
Sawa mkuu ila jua Kesho kwakoDaaah nimependa namna alivyokata icho ki box kama kapima vile safi sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa mkuu ila jua Kesho kwakoDaaah nimependa namna alivyokata icho ki box kama kapima vile safi sana
Jiandae kuvimba tumbo Paka weweNilijua utaleta hukuJF nilikuwa nakukaribisha tu mkuu ila uko makini sana karibu kitaa kuwa na amani tu
Mbwa waliofundishwa hawadanganyiki.
Mateso Sana haya yani simu yako unaishi kwa wasi wasiMaisha ya Dar yana mateso sana,sie huku mikoani unaiweka popote tu na asubuhi unaikuta,anza kuiweka chini ya uvungu wa kitanda naona huko itakuwa salama,pole sana...
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanalemba mno
Wanauza spear tuusemu hujui nini chakufanya ukiibiwa simu ,ila mimi ukiiba simu yangu nitakucheka tu maana haitazidi wiki utashangaa nakushika bega labda usiitumie kabisa
IPhone kiboko IMEI haibadilikiSoftware ukibadili still watakudata. Ila Imei number. Sina Uzoefu sana na Iphone lakini kuna watu nasikia wanaweza kuzichezea hizo simu na usiipate.
Kwa hiyo analala kwenye fremu nini!Mkuu unalalaje nyumba cheap hivyo. ??? Yaani haina dirisha unajilalia tu kama uko kwenu tafuta nyumba ya hadhi kidogo watakuja wakuibe na wewe jumla jumla na mbaya wanakukula kiboga mkuu kuwa makini.
Sent using Jamii Forums mobile app