mwandende
JF-Expert Member
- Feb 16, 2017
- 10,513
- 19,874
Mkuu huu Uzi utageuka UWANJA wa MAPOVU SOON..nasikia harufu ya MAPOVU
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
ndo uwezo wake mkuuMkuu unalalaje nyumba cheap hivyo. ??? Yaani haina dirisha unajilalia tu kama uko kwenu tafuta nyumba ya hadhi kidogo watakuja wakuibe na wewe jumla jumla na mbaya wanakukula kiboga mkuu kuwa makini.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nianze kwa kumshukuru Mungu kwa kuniamsha dakika 4 baada ya Mwizi kuvunja dirisha nikiwa nimelala. Majira ya sa 10 na dakika 15 nimefumbua Macho gafla naona tochi inaangaza ukutani nikaongeza kufunua pazia aisee kile kishindo cha mbio mithili ya kuanguka jiwe la kila 100.
Nikaamka kucheki simu ipo kuwasha taa kucheki dirisha aisee Alisha kata waya tayari na kucheki kwa chini naona fimbo nahisi ilitumika kufunua pazia. Siku zote simu Hua siweki peupe kiasi hiki na Hua kila siku sa 9 to sa 11 alfajiri Hua nakua on hii ni kulingana nililala sa ngap...
Wakuu Toka muda wa sa 10 hadi saiv sijafikiria kulala tena.. Na Leo ni siku ya 21 Toka nihamie mji huu Japokua niliambiwa Kua Kua vibaka niwe makini na simu..
Naombeni ushauri njia sahihi ya kujikinga na simu yangu Maana huyu Mwizi wa Leo hawezi kata Tamaa atarudi tena tu mana Leo kaikosa kidogo Sana. Picha za Ushahidi hizi chini fimbo na dirisha limekatwaView attachment 1021870View attachment 1021871
Sent using Jamii Forums mobile app
Tondora ni nini?Pole sana at least umewafukuza. Hapo ni Dar? Sehemu gani maana watu tumelizwa sana sehemu za Mbezi beach hasa madirisha ya sliding. Mwizi yeyote ni yule unayemfahamu na anayekufahamu nimegundua. Nimeibiwa sana ila mwizi wangu sasa kawa kama tondora.
Mkuu hatufanani maisha samahani MI sio shemeji yakoUmeleta uzi MMU...... Kama ni Tecno mwachie tuu maana itasumbua
Duhh!!! ila hao wezi wamikoani afadhali umenusulika hawa wa dar wasinge kukosa but!!kwahyo hakuna ata ukuta unaoizunguka hio nyumba!!! umepanga chumba kimoja??au kama ndio hama hapo katafute nyumba ya hadhi kidogo hayo mambo utayasikia tu kwa wengine!!! lasivyo kuna siku utakuja kishtuka asubuh chumba cheupe
Mkuu unalalaje nyumba cheap hivyo. ??? Yaani haina dirisha unajilalia tu kama uko kwenu tafuta nyumba ya hadhi kidogo watakuja wakuibe na wewe jumla jumla na mbaya wanakukula kiboga mkuu kuwa makini.
Sent using Jamii Forums mobile app
Una uhakika? Kama nimelala na dadako inafaa uniite shemeji
Hahahapole mkuu,ila huyo mwizi mstaarabu sana aisee,amekata waya wa dirisha vizuri mno,ingekuwa hawa wa ushwahilini kwetu huo wavu ungeonekana kama umepigwa bomu
Na kigamboni. Nilihamaga Kigamboni kwa ajili ya huu upuuzi. Siku nimejisahau nikaweka simu zangu mbili kwenye chaji kushtuka wanataka kuvuta ya kwanza ikasalimika. Mimi na mambo ya vibaka tofauti kwanza nilivyo muogaPole sana at least umewafukuza. Hapo ni Dar? Sehemu gani maana watu tumelizwa sana sehemu za Mbezi beach hasa madirisha ya sliding. Mwizi yeyote ni yule unayemfahamu na anayekufahamu nimegundua. Nimeibiwa sana ila mwizi wangu sasa kawa kama tondora.