Lyaka Mlima Jr
JF-Expert Member
- Mar 24, 2020
- 358
- 521
Nchi yetu y a Tanzania imepitia changamoto nyingi sana tangu uvamizi wa kikoloni karne 19 , wapo watu katika watanzania wenzetu walipoteza maisha yao na wengine kupata ulemavu wakipinga dhuluma na uhuni wa wakoloni enzi hizo.
Miaka ya 1940s vuguvugu la kudai uhuru lilipamba moto ambapo wazalendo mbalimbali waliumizwa na kutia vitanzi na serikali ya uovu ya kikoloni, baada ya uhuru tuliendelea kuishi katika ombwe la ukoloni tukiwa chini ya wakoloni weusi.
Watanzania walikosa mtu wa kuthubutu kusema ukweli hasa linapokuja suala la maslahi ya nchi kwa ujumla wake, kwa ufupi tu 2021 mwishoni nchi imempata mtu wa kuthubutu,JOB JUSTINE NDUGAI namtangaza kuwa shujaa wa taifa hili katika karne ya 21, kwangu Edward sokoine ni shujaa wa tanzania karne ya 20th.
Ndugai isikuhuzunishe mihemko na matusi ya vijana wa Uvccm kwa hakika watakukumbuka baada ya miaka 20 ijayo, hakikka umefungua mlango wa kuihoji serikali, faida haitoonekana leo kwa sababu bado kuna giza la kisiasa lakini usiku utakapokwisha Ndugai utakuwa shujaa..
Miaka ya 1940s vuguvugu la kudai uhuru lilipamba moto ambapo wazalendo mbalimbali waliumizwa na kutia vitanzi na serikali ya uovu ya kikoloni, baada ya uhuru tuliendelea kuishi katika ombwe la ukoloni tukiwa chini ya wakoloni weusi.
Watanzania walikosa mtu wa kuthubutu kusema ukweli hasa linapokuja suala la maslahi ya nchi kwa ujumla wake, kwa ufupi tu 2021 mwishoni nchi imempata mtu wa kuthubutu,JOB JUSTINE NDUGAI namtangaza kuwa shujaa wa taifa hili katika karne ya 21, kwangu Edward sokoine ni shujaa wa tanzania karne ya 20th.
Ndugai isikuhuzunishe mihemko na matusi ya vijana wa Uvccm kwa hakika watakukumbuka baada ya miaka 20 ijayo, hakikka umefungua mlango wa kuihoji serikali, faida haitoonekana leo kwa sababu bado kuna giza la kisiasa lakini usiku utakapokwisha Ndugai utakuwa shujaa..