Gibborim
JF-Expert Member
- Oct 7, 2019
- 388
- 877
Kunywa Valium....
Kunywa Valium....
Uuwiiiii jamani nenda kule bandani utanikuta sungura wako nakusuburi CONTROLA wangu. Nisamehe Dada ako kwa ubusy.
usiku mwema Jael
nimekutafuta sana ni jana ndio
nimegundua wewe ni mama mafurushi
nimesakaranya sana ile ID ya zamani acha tu
muwe mnatoa taarifa mnapobadili ID jmn.
Arif usiku mwema Sakayo
wale watu wakutuongelesha kama wanatubembeleza
ili watuchote leo kwenye maombi nitawasogeza madhabahuni
nitawakanyagisha mafuta wote shenzi wale,wametuzoea sana imetosha.