Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 49,654
- 68,612
Habari mabibi na mabwana,
Natumaini hamjambo na mnaendelea vyema,
Sasa ni muda wa kulala,kumpumzisha akili,miili yetu,kwa mlioko ndoani kufurahishana na kutafuta watoto,ambao ni mabachela tuendeleze kununua mablanket mazito maana mikoa mingine kuna baridi sio kama huna mpenzi au mnaishi sehemu tofauti blanket linahusika,mizunguko ya mchana,kazi za hapa na pale,kukorofishana,hebu sahau uupe raha mwili wako kwa maji ya uvuguvugu,kisha panda kitandani peruzi kidogo mitandaoni halafu lala,achana na mawazo,wivu,hasira, kumbuka maisha ni mafupi,akili yako ipe nafasi ya kuwaza mazuri tu ili uote ndoto nzuri usiku huu,kama una kambembeza hebu kavute ukakumbatie upate joto murua (mengine yanaondelea sijui)
Najumuika nanyi usiku huu kuwatakia usingizi mwororo WanaMMU huku mkiburudika na nyimbo ya Aje ya Ally Kiba Nawatakia usiku mwema nawapenda nyote hata ambao hamnipendi nawapenda tu maisha mafupi haya
Natumaini hamjambo na mnaendelea vyema,
Sasa ni muda wa kulala,kumpumzisha akili,miili yetu,kwa mlioko ndoani kufurahishana na kutafuta watoto,ambao ni mabachela tuendeleze kununua mablanket mazito maana mikoa mingine kuna baridi sio kama huna mpenzi au mnaishi sehemu tofauti blanket linahusika,mizunguko ya mchana,kazi za hapa na pale,kukorofishana,hebu sahau uupe raha mwili wako kwa maji ya uvuguvugu,kisha panda kitandani peruzi kidogo mitandaoni halafu lala,achana na mawazo,wivu,hasira, kumbuka maisha ni mafupi,akili yako ipe nafasi ya kuwaza mazuri tu ili uote ndoto nzuri usiku huu,kama una kambembeza hebu kavute ukakumbatie upate joto murua (mengine yanaondelea sijui)
Najumuika nanyi usiku huu kuwatakia usingizi mwororo WanaMMU huku mkiburudika na nyimbo ya Aje ya Ally Kiba Nawatakia usiku mwema nawapenda nyote hata ambao hamnipendi nawapenda tu maisha mafupi haya