Abbasfarudume
JF-Expert Member
- Feb 14, 2017
- 1,625
- 1,323
Madhara yake ndio haya, mwisho ameze nzi wa kijani hapo akili imkae sawa..!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hilo nalo neno mkuuWengine ni wagonjwa wanatakiwa wafanyiwe uchunguzi wa kiafya.
Hatari sana mkuu bado miudenda imtoke tu hapo.Hilo domo sio la mkesha bali tungi.
Domo kaliacha wazi kama mimi ningemuwekea chumvi akiamka hapo ailambe lambeHahahaaa Abas umenkosha
Na usingizi ulivyo mbaya, unaweza ukajisikia kutoa upepo ukausukuma kwa nguvu na mbwembwe ukijua uko bedirum kwako aloni. kumbe ni kwa wakwe kwenye kikao.Hatari sana mkuu bado miudenda imtoke tu hapo.
Na usingizi ulivyo mbaya, unaweza ukajisikia kutoa upepo ukausukuma kwa nguvu na mbwembwe ukijua uko bedirum kwako aloni. kumbe ni kwa wakwe kwenye kikao.
Akijamba hapo kama tyre la tractor limepata pancha.Hahaaa jamaa wanoko wanashindwa hata kumfinya mwenzao aache kujiaibisha.
apo asingerudiA ng'oDomo kaliacha wazi kama mimi ningemuwekea chumvi akiamka hapo ailambe lambe
Kuwasiliana kwa njia ya message!Kuchart ni nini?
Bado tuna matatizo makubwa na hii lugha ya malkia...*chat*Kuchart ni nini?
Hahahaaa Abas umenkosha
Ni Ku chat, si kuchart.Kuwasiliana kwa njia ya message!
Mkuu sio kuchart bali ni kuchat..Madhara yake ndio haya, mwisho ameze nzi wa kijani hapo akili imkae sawa..!!