Ng'wanangwa
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 10,827
- 4,172
Huku wenzenu wanapora madini.
Wanasainishana mikataba feki.
Wanafilisi mashirika.
Wanalipana malipo hewa.
Wanafanya magendo.
Wanakwepa ushuru
Mmekalia Chadema.
Hamuwezi kujadili mambo ya maana yanayohusu Tanzania. Mnajadili Chadema.
Mnatia aibu.
Wanasainishana mikataba feki.
Wanafilisi mashirika.
Wanalipana malipo hewa.
Wanafanya magendo.
Wanakwepa ushuru
Mmekalia Chadema.
Hamuwezi kujadili mambo ya maana yanayohusu Tanzania. Mnajadili Chadema.
Mnatia aibu.