usikose world cup 2014 na ligi zote miezi ya mbele

munjy1

JF-Expert Member
Mar 30, 2012
564
139
fifa 2014.jpg
USIKOSE OFFER KABAMBE NA MOTO MOTO ZA KOMBE LA DUNIA
ni Ving'amuzi ambavyo vina uwezo wa kufungua full premium package ya d**v and more stable bila gharama ya ziada ni only 25MB kwa mwezi za simcard ya 2g unahitaji + dish 3ft yanauzwa 50,000tsh madukani na baada ya kutumia bure mwaka mzima utalipia tena 40,000tsh kwa ajili ya mwaka mwengine.

KWA MAELEZO ZAIDI BOFYA LINK HII
Ulimwengu wa FTA na Mpeg4 receivers zinazotumia technologia ya GPRS/WIFI/3G au LAN
 
View attachment 160535
USIKOSE OFFER KABAMBE NA MOTO MOTO ZA KOMBE LA DUNIA
ni Ving'amuzi ambavyo vina uwezo wa kufungua full premium package ya d**v and more stable bila gharama ya ziada ni only 25MB kwa mwezi za simcard ya 2g unahitaji + dish 3ft yanauzwa 50,000tsh madukani na baada ya kutumia bure mwaka mzima utalipia tena 40,000tsh kwa ajili ya mwaka mwengine.

KWA MAELEZO ZAIDI BOFYA LINK HII
Ulimwengu wa FTA na Mpeg4 receivers zinazotumia technologia ya GPRS/WIFI/3G au LAN

mkuu kama kula ushakula sn sio uungwana huu na maisha sio uongo, dhuruma na utapeli. mimi ni muhanga wa hv vidude vyako nilinunua rcva za azsky 5 na moja ikiwa kwangu kipind unauza tsh 280,000/= ila toka mwezi wa kwanza hazifanyi kazi na ukasema tununue akaunt hata km hazijaisha sababu miez hii zitakua gharama watu tukajitoa tukanunua nikanunua akaunt tsh 42, 000 bado haitosh ukasema tusijal dstv wana upgrade sever mwezi wa pili itakua poa lakn mpaka leo kimya.. na ukumbuke unavyotuuzia ulisema hz rcva hatutalipia mwaka mzma ya akaunt ya miez sita ikiisha unatupa nyngne ya bure kwa miez sita tena kukamilisha promc lakn hukufanya hvyo na ukatuuzia tena. kiukwel kwenye ukwel ntasimamia ukwel, hz rcva zlifanya vzur sn mwanzon na kwel uliuza sn lakn mkuu sababu tulinunua kwa hiar yetu sisi Tunashkuru coz kwel tulipenda vya bei nafuu ila nachokuomba usiwalaghai wengne kisa umeona kombe la dunia ukataka nao waje kulia zaidi yetu. kilio cha wengi na pesa ya namna hii ht ukifanya mambo mazur kwa maendeleo yako ipo siku vtapotea kaka. tafuta ela kwa njia ambayo hakuna wakukulaumu ili wote waridhke hii biashara haina tofaut na utapel sababu sasa hv umekua kimya kuhusu hz rcva na sasa unawapiga watu kupitia qsat kisa ndio znafanya kazi lakn maisha sio mepes. kwa ushaur wa bure ela ulizopga sasa fanya biashara halal itakutoa tu. na km siku nyingne kuwa mkwel kuwa jaman nawauzia hii bidhaa lakin inaweza kuwa sio deal wakat wowote ili watu wanavyoingza ela wajue kuwa ni km bahat nasibu. mimi sijutii kununua sababu ela ndio ishaenda lakin wale walionpa ela zao nikawaagzia ndio tatzo wananiona muongo, muhun, tapel wakat nilikua naheshmiana nao ila nao siwalaumu sababu hawana kosa ni haki yao kudai chao na mmoja ndio kanibwagia rcva anataka ela yake nishalipa nusu sasa nalipa deni ambalo ni mara mia ningemnunulia mama angu kitenge. sio maisha kabisa kaka lakn amin usiamn kila jambo huwa na kikomo mi nashaur mtu asie na uwezo wa dstv awe mpole haya makopo mazur kwa mtu mtundu wa mambo haya otheryz utalia zaid yangu labda uwe na kihenge cha fedha.
 
Kwa wazee wakufungiwa na kushika rimoti hakiwafai mana zikianzaga ishu za ku set mambo yakibadilika kama hauko poa utalalamika tu kwamba huoni kitu
 
mkuu kama kula ushakula sn sio uungwana huu na maisha sio uongo, dhuruma na utapeli. mimi ni muhanga wa hv vidude vyako nilinunua rcva za azsky 5 na moja ikiwa kwangu kipind unauza tsh 280,000/= ila toka mwezi wa kwanza hazifanyi kazi na ukasema tununue akaunt hata km hazijaisha sababu miez hii zitakua gharama watu tukajitoa tukanunua nikanunua akaunt tsh 42, 000 bado haitosh ukasema tusijal dstv wana upgrade sever mwezi wa pili itakua poa lakn mpaka leo kimya.. na ukumbuke unavyotuuzia ulisema hz rcva hatutalipia mwaka mzma ya akaunt ya miez sita ikiisha unatupa nyngne ya bure kwa miez sita tena kukamilisha promc lakn hukufanya hvyo na ukatuuzia tena. kiukwel kwenye ukwel ntasimamia ukwel, hz rcva zlifanya vzur sn mwanzon na kwel uliuza sn lakn mkuu sababu tulinunua kwa hiar yetu sisi Tunashkuru coz kwel tulipenda vya bei nafuu ila nachokuomba usiwalaghai wengne kisa umeona kombe la dunia ukataka nao waje kulia zaidi yetu. kilio cha wengi na pesa ya namna hii ht ukifanya mambo mazur kwa maendeleo yako ipo siku vtapotea kaka. tafuta ela kwa njia ambayo hakuna wakukulaumu ili wote waridhke hii biashara haina tofaut na utapel sababu sasa hv umekua kimya kuhusu hz rcva na sasa unawapiga watu kupitia qsat kisa ndio znafanya kazi lakn maisha sio mepes. kwa ushaur wa bure ela ulizopga sasa fanya biashara halal itakutoa tu. na km siku nyingne kuwa mkwel kuwa jaman nawauzia hii bidhaa lakin inaweza kuwa sio deal wakat wowote ili watu wanavyoingza ela wajue kuwa ni km bahat nasibu. mimi sijutii kununua sababu ela ndio ishaenda lakin wale walionpa ela zao nikawaagzia ndio tatzo wananiona muongo, muhun, tapel wakat nilikua naheshmiana nao ila nao siwalaumu sababu hawana kosa ni haki yao kudai chao na mmoja ndio kanibwagia rcva anataka ela yake nishalipa nusu sasa nalipa deni ambalo ni mara mia ningemnunulia mama angu kitenge. sio maisha kabisa kaka lakn amin usiamn kila jambo huwa na kikomo mi nashaur mtu asie na uwezo wa dstv awe mpole haya makopo mazur kwa mtu mtundu wa mambo haya otheryz utalia zaid yangu labda uwe na kihenge cha fedha.

Huyu jamaa atakuwa mhaya. Maana wahaya wengi matapeli





The king.
 
mkuu kama kula ushakula sn sio uungwana huu na maisha sio uongo, dhuruma na utapeli. mimi ni muhanga wa hv vidude vyako nilinunua rcva za azsky 5 na moja ikiwa kwangu kipind unauza tsh 280,000/= ila toka mwezi wa kwanza hazifanyi kazi na ukasema tununue akaunt hata km hazijaisha sababu miez hii zitakua gharama watu tukajitoa tukanunua nikanunua akaunt tsh 42, 000 bado haitosh ukasema tusijal dstv wana upgrade sever mwezi wa pili itakua poa lakn mpaka leo kimya.. na ukumbuke unavyotuuzia ulisema hz rcva hatutalipia mwaka mzma ya akaunt ya miez sita ikiisha unatupa nyngne ya bure kwa miez sita tena kukamilisha promc lakn hukufanya hvyo na ukatuuzia tena. kiukwel kwenye ukwel ntasimamia ukwel, hz rcva zlifanya vzur sn mwanzon na kwel uliuza sn lakn mkuu sababu tulinunua kwa hiar yetu sisi Tunashkuru coz kwel tulipenda vya bei nafuu ila nachokuomba usiwalaghai wengne kisa umeona kombe la dunia ukataka nao waje kulia zaidi yetu. kilio cha wengi na pesa ya namna hii ht ukifanya mambo mazur kwa maendeleo yako ipo siku vtapotea kaka. tafuta ela kwa njia ambayo hakuna wakukulaumu ili wote waridhke hii biashara haina tofaut na utapel sababu sasa hv umekua kimya kuhusu hz rcva na sasa unawapiga watu kupitia qsat kisa ndio znafanya kazi lakn maisha sio mepes. kwa ushaur wa bure ela ulizopga sasa fanya biashara halal itakutoa tu. na km siku nyingne kuwa mkwel kuwa jaman nawauzia hii bidhaa lakin inaweza kuwa sio deal wakat wowote ili watu wanavyoingza ela wajue kuwa ni km bahat nasibu. mimi sijutii kununua sababu ela ndio ishaenda lakin wale walionpa ela zao nikawaagzia ndio tatzo wananiona muongo, muhun, tapel wakat nilikua naheshmiana nao ila nao siwalaumu sababu hawana kosa ni haki yao kudai chao na mmoja ndio kanibwagia rcva anataka ela yake nishalipa nusu sasa nalipa deni ambalo ni mara mia ningemnunulia mama angu kitenge. sio maisha kabisa kaka lakn amin usiamn kila jambo huwa na kikomo mi nashaur mtu asie na uwezo wa dstv awe mpole haya makopo mazur kwa mtu mtundu wa mambo haya otheryz utalia zaid yangu labda uwe na kihenge cha fedha.
Kaka gazeti lako kubwa unaloliandika, ni kweli azsky G6 haipo hewani na inarudi mara kwa mara kwa majaribio ila sio kwamba ndio imekula kwako kijamla hapana kurudi itarudi tu pia kumbuka mimi ni muuzaji tu na sio kwamba ndio mwenye kiwanda China (ambao waliahidi hizo account bure) au mwenye server za Azsky Nigeria (ndio wenye kufanya hizi dongle zionyeshe) na nadhani wewe ni mgeni wa hizi Dongle na technologia ya IKS na ndio maana unalalamika sana na pia nadhani gharama za Makaburu huzijui na ndio maana unalalamika (hivi vidude ukitumia mwezi 1 tu basi hela yako ishalipa kutokana na kulinganisha malipo ya mwezi ya kaburu 132,000tsh X12=???? sasa linganisha hiyo bei na ninachokiuza. BY the way nina record za watu wote ninaowauzia na niliowauzia wewe humo katika record zangu, nakushauri mtafute aliyekuuzia akupe njia Jinsi ya kutatua tatizo lako na sio kutumia reference za post zangu za zamani then ukajifanya kuwa mteja wangu.
Pia ushauri mwengine Hebu hiyo decoder yako kuwa unaijaribu mara kwa mara halafu urejeshe jibu kama jee imekufa 1 kwa 1 au bado inafanya kazi.
Pia kwa kuongezea kama una kumbukumbu nzuri Qsat na Azsky G6 ni product ambazo zilikuwepo Wakati 1 ila Qsat haikupata tatizo kama ilivyopata G6 na nadhani wadau wengi wanalijua hilo (Jee kuzama kwa MV bukoba utazitia sumu MELI zote kuwa ni MBOVU?) naomba nijibu suali langu. Azsky wapo katika hii game Zaidi ya miaka 5 ila inaweza kuwa uliponunua wewe ni miezi yao ambayo matatizo ndio yamewakuta (pia kumbuka hiyo decoder ni HD decoder na pia ni FTA, nakushauri mtafute njunwa wamavoko akuuzie cccam account uingize katika G6 yako ili uendelee kufurahiya na sio kulalamika sana hadi kuwatisha wengine
Pole kwa usumbufu unaopata
 
Last edited by a moderator:
Kaka gazeti lako kubwa unaloliandika, ni kweli azsky G6 haipo hewani na inarudi mara kwa mara kwa majaribio ila sio kwamba ndio imekula kwako kijamla hapana kurudi itarudi tu pia kumbuka mimi ni muuzaji tu na sio kwamba ndio mwenye kiwanda China (ambao waliahidi hizo account bure) au mwenye server za Azsky Nigeria (ndio wenye kufanya hizi dongle zionyeshe) na nadhani wewe ni mgeni wa hizi Dongle na technologia ya IKS na ndio maana unalalamika sana na pia nadhani gharama za Makaburu huzijui na ndio maana unalalamika(hivi vidude ukitumia mwezi 1 tu basi hela yako ishalipa kutokana na kulinganisha malipo ya mwezi ya kaburu 132,000tsh X12=???? sasa linganisha hiyo bei na ninachokiuza. BY the way nina record za watu wote ninaowauzia na niliowauzia wewe humo katika record zangu, nakushauri mtafute aliyekuuzia akupe njia Jinsi ya kutatua tatizo lako na sio kutumia reference za post zangu za zamani then ukajifanya kuwa mteja wangu.
Pia ushauri mwengine Hebu hiyo decoder yako kuwa unaijaribu mara kwa mara halafu urejeshe jibu kama jee imekufa 1 kwa 1 au bado inafanya kazi.
Pia kwa kuongezea kama una kumbukumbu nzuri Qsat na Azsky G6 ni product ambazo zilikuwepo Wakati 1 ila Qsat haikupata tatizo kama ilivyopata G6 na nadhani wadau wengi wanalijua hilo (Jee kuzama kwa MV bukoba utazitia sumu MELI zote kuwa ni MBOVU?) naomba nijibu suali langu. Azsky wapo katika hii game Zaidi ya miaka 5 ila inaweza kuwa uliponunua wewe ni miezi yao ambayo matatizo ndio yamewakuta (pia kumbuka hiyo decoder ni HD decoder na pia ni FTA, nakushauri mtafute njunwa wamavoko akuuzie cccam account uingize katika G6 yako ili uendelee kufurahiya na sio kulalamika sana hadi kuwatisha wengine
Pole kwa usumbufu unaopata
Sasa si ungemwambia tu kuwa hela aliyogharamia vimeishiana na muda alioutumia.

Maelezo mengi wakati unajua ni biashara ya magendo .
 
Last edited by a moderator:
Kaka gazeti lako kubwa unaloliandika, ni kweli azsky G6 haipo hewani na inarudi mara kwa mara kwa majaribio ila sio kwamba ndio imekula kwako kijamla hapana kurudi itarudi tu pia kumbuka mimi ni muuzaji tu na sio kwamba ndio mwenye kiwanda China (ambao waliahidi hizo account bure) au mwenye server za Azsky Nigeria (ndio wenye kufanya hizi dongle zionyeshe) na nadhani wewe ni mgeni wa hizi Dongle na technologia ya IKS na ndio maana unalalamika sana na pia nadhani gharama za Makaburu huzijui na ndio maana unalalamika (hivi vidude ukitumia mwezi 1 tu basi hela yako ishalipa kutokana na kulinganisha malipo ya mwezi ya kaburu 132,000tsh X12=???? sasa linganisha hiyo bei na ninachokiuza. BY the way nina record za watu wote ninaowauzia na niliowauzia wewe humo katika record zangu, nakushauri mtafute aliyekuuzia akupe njia Jinsi ya kutatua tatizo lako na sio kutumia reference za post zangu za zamani then ukajifanya kuwa mteja wangu.
Pia ushauri mwengine Hebu hiyo decoder yako kuwa unaijaribu mara kwa mara halafu urejeshe jibu kama jee imekufa 1 kwa 1 au bado inafanya kazi.
Pia kwa kuongezea kama una kumbukumbu nzuri Qsat na Azsky G6 ni product ambazo zilikuwepo Wakati 1 ila Qsat haikupata tatizo kama ilivyopata G6 na nadhani wadau wengi wanalijua hilo (Jee kuzama kwa MV bukoba utazitia sumu MELI zote kuwa ni MBOVU?) naomba nijibu suali langu. Azsky wapo katika hii game Zaidi ya miaka 5 ila inaweza kuwa uliponunua wewe ni miezi yao ambayo matatizo ndio yamewakuta (pia kumbuka hiyo decoder ni HD decoder na pia ni FTA, nakushauri mtafute njunwa wamavoko akuuzie cccam account uingize katika G6 yako ili uendelee kufurahiya na sio kulalamika sana hadi kuwatisha wengine
Pole kwa usumbufu unaopata

haki ya mungu we jamaa ni tapeli nimediriki kumtaja mungu. km leo unasema hukuwahi niuzia? wakat hata hapa kila siku wanitumia update zako za qsat kwenye no yangu ya simu sasa ulipataje no yangu na jana umentumia pia, tushazinguana sn kwenye thread ambayo uliifunga. sawa lazima uone hili nmeandika gazet sababu wewe hujui napata usumbufu gani kwa niliowachukulia hizi rcva. kurud kwa channel sikatai huwa zinarud na zinarud moja au mbili na zinakaa dakika au lisaa limoja na zkiondoka ni mazima hadi nasahau km nina rcva ndan. pia ukisema sijui bei ya makaburu sawa ila ndio ninawaowatumia sasa na kabla ya kuwa na vdude vyako, wote tunatafuta unafuu wa gharama za maisha ndio mana nikaja kwenye servc yako ila nawe basi kuwa mkwel kwa faida na hasara ya rcva zako ili mtu anapojiingza ajue kabsa sio kudanganya watu na hilo unaloita gazet mi nimeandka wenzangu wachukue tahadhar lakn anaeweza anunue tu. sasa ht akitumia akil ya kawaida kabisa rcva imekata miez minne hii ni huduma au? hapo umeandka cccma akaunt wakat unajua ni gharama zaid ila kwenye tangazo ushawadanganya watu kuwa watapata huduma kwa mb 25 na kulipia 40,000tsh tu kwa mwaka sasa kwann usiweke na matatzo ya hzo rcva ili mnunuaj ajue na aamue kuliko kuweka sifa zake tu. sifa kubwa ya tapel ni kuwa na lugha nzur anapoanza biashara then huwa mkal na mwenye kejeli mwishon wa biashara na ndivyo ulivyo wewe. ila narudia tena laana ya utapeli utakuja kuijua baadae, we kuwa muwaz kuwa jaman nauza kitu fulan faida zake hizi na hasara hizi. mi nishawapa makaburu ela nasubr tu kombe la dunia ila kwa atakaenunu atuoe fdback kumbe la dunia likianza. asante kwa kunikana kuwa sio wewe ulieniuzua na ulisema huwa unarekodi zile namba za rcva mi baadae ntaiweka hapa uangalie km sipo kwenye list ya uliowauzia.
 
Last edited by a moderator:
Kaka gazeti lako kubwa unaloliandika, ni kweli azsky G6 haipo hewani na inarudi mara kwa mara kwa majaribio ila sio kwamba ndio imekula kwako kijamla hapana kurudi itarudi tu pia kumbuka mimi ni muuzaji tu na sio kwamba ndio mwenye kiwanda China (ambao waliahidi hizo account bure) au mwenye server za Azsky Nigeria (ndio wenye kufanya hizi dongle zionyeshe) na nadhani wewe ni mgeni wa hizi Dongle na technologia ya IKS na ndio maana unalalamika sana na pia nadhani gharama za Makaburu huzijui na ndio maana unalalamika (hivi vidude ukitumia mwezi 1 tu basi hela yako ishalipa kutokana na kulinganisha malipo ya mwezi ya kaburu 132,000tsh X12=???? sasa linganisha hiyo bei na ninachokiuza. BY the way nina record za watu wote ninaowauzia na niliowauzia wewe humo katika record zangu, nakushauri mtafute aliyekuuzia akupe njia Jinsi ya kutatua tatizo lako na sio kutumia reference za post zangu za zamani then ukajifanya kuwa mteja wangu.
Pia ushauri mwengine Hebu hiyo decoder yako kuwa unaijaribu mara kwa mara halafu urejeshe jibu kama jee imekufa 1 kwa 1 au bado inafanya kazi.
Pia kwa kuongezea kama una kumbukumbu nzuri Qsat na Azsky G6 ni product ambazo zilikuwepo Wakati 1 ila Qsat haikupata tatizo kama ilivyopata G6 na nadhani wadau wengi wanalijua hilo (Jee kuzama kwa MV bukoba utazitia sumu MELI zote kuwa ni MBOVU?) naomba nijibu suali langu. Azsky wapo katika hii game Zaidi ya miaka 5 ila inaweza kuwa uliponunua wewe ni miezi yao ambayo matatizo ndio yamewakuta (pia kumbuka hiyo decoder ni HD decoder na pia ni FTA, nakushauri mtafute njunwa wamavoko akuuzie cccam account uingize katika G6 yako ili uendelee kufurahiya na sio kulalamika sana hadi kuwatisha wengine
Pole kwa

Wizi tu.
 
Last edited by a moderator:
Hhhahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
DILI imebumburuka we MWIZI katafute wa Chamanzi au Gongola mboto uwakamate kirahisi....
Ulitaka kutumia mgongo wa Kombe la Dunia kuwa milionea kwa kuuza vya haramu vya Kichina???
Kwa jinsi ulivyomjibu deecharity ndivyo unavyojidhihirisha kuwa wewe ni jambaka huna tofauti na lile kundi wanaoojita mbwa mwitu waliongia Dar kuiba vya watu.
Nenda kalime usilete mishen town feki kuibia wapendwa walijipinda kusukuma mikokoteni kutafuta riziki alafu wewe uchukue kilaini
Wana JF Tuwe makini na hawa ndumilakuwili matapeli majizi wasikuwa na tofauti na yale ya EPA bungeni
Kukurukuuuuu mwanangu na kombe la DSTV Feki !!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Hhhahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
DILI imebumburuka we MWIZI katafute wa Chamanzi au Gongola mboto uwakamate kirahisi....
Ulitaka kutumia mgongo wa Kombe la Dunia kuwa milionea kwa kuuza vya haramu vya Kichina???
Kwa jinsi ulivyomjibu deecharity ndivyo unavyojidhihirisha kuwa wewe ni jambaka huna tofauti na lile kundi wanaoojita mbwa mwitu waliongia Dar kuiba vya watu.
Nenda kalime usilete mishen town feki kuibia wapendwa walijipinda kusukuma mikokoteni kutafuta riziki alafu wewe uchukue kilaini
Wana JF Tuwe makini na hawa ndumilakuwili matapeli majizi wasikuwa na tofauti na yale ya EPA bungeni
Kukurukuuuuu mwanangu na kombe la DSTV Feki !!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

duh!!!!!!!!!!!!
 
Wakuu hili jamaa ni tapeli lakutupwa mtu lipo zenji wanashirikiana na tapeli lingine linalojiita Paje kutuuzia vitu haramu na vya wizi pambaf zake
 
Last edited by a moderator:
Hhhahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
DILI imebumburuka we MWIZI katafute wa Chamanzi au Gongola mboto uwakamate kirahisi....
Ulitaka kutumia mgongo wa Kombe la Dunia kuwa milionea kwa kuuza vya haramu vya Kichina???
Kwa jinsi ulivyomjibu deecharity ndivyo unavyojidhihirisha kuwa wewe ni jambaka huna tofauti na lile kundi wanaoojita mbwa mwitu waliongia Dar kuiba vya watu.
Nenda kalime usilete mishen town feki kuibia wapendwa walijipinda kusukuma mikokoteni kutafuta riziki alafu wewe uchukue kilaini
Wana JF Tuwe makini na hawa ndumilakuwili matapeli majizi wasikuwa na tofauti na yale ya EPA bungeni
Kukurukuuuuu mwanangu na kombe la DSTV Feki !!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Hujamtendea haki munjy1 kwa kumuita tapeli na mwizi maana hajawai kumuibia au kumtapeli mtu. Ukinumua haya madude ya kichina hayana mkataba, kila mnunuaji analijtambua hilo. Ukitaka uhakika nunua ds*tv.
 
Hujamtendea haki munjy1 kwa kumuita tapeli na mwizi maana hajawai kumuibia au kumtapeli mtu. Ukinumua haya madude ya kichina hayana mkataba, kila mnunuaji analijtambua hilo. Ukitaka uhakika nunua ds*tv.
kwanini anayauza na kuyashabikia badala ya kukemea huo uchafu
 
Vidude vimenitesa hivi sina hamu
jamaa ana lugha tamu kweli nimenunua vikopo hivi vitatu walahi
hakuna unafuu wowte ni mateso kila siku mara seva down mara nyoko wizi mtupu
 
haki ya mungu we jamaa ni tapeli nimediriki kumtaja mungu. km leo unasema hukuwahi niuzia? wakat hata hapa kila siku wanitumia update zako za qsat kwenye no yangu ya simu sasa ulipataje no yangu na jana umentumia pia, tushazinguana sn kwenye thread ambayo uliifunga. sawa lazima uone hili nmeandika gazet sababu wewe hujui napata usumbufu gani kwa niliowachukulia hizi rcva. kurud kwa channel sikatai huwa zinarud na zinarud moja au mbili na zinakaa dakika au lisaa limoja na zkiondoka ni mazima hadi nasahau km nina rcva ndan. pia ukisema sijui bei ya makaburu sawa ila ndio ninawaowatumia sasa na kabla ya kuwa na vdude vyako, wote tunatafuta unafuu wa gharama za maisha ndio mana nikaja kwenye servc yako ila nawe basi kuwa mkwel kwa faida na hasara ya rcva zako ili mtu anapojiingza ajue kabsa sio kudanganya watu na hilo unaloita gazet mi nimeandka wenzangu wachukue tahadhar lakn anaeweza anunue tu. sasa ht akitumia akil ya kawaida kabisa rcva imekata miez minne hii ni huduma au? hapo umeandka cccma akaunt wakat unajua ni gharama zaid ila kwenye tangazo ushawadanganya watu kuwa watapata huduma kwa mb 25 na kulipia 40,000tsh tu kwa mwaka sasa kwann usiweke na matatzo ya hzo rcva ili mnunuaj ajue na aamue kuliko kuweka sifa zake tu. sifa kubwa ya tapel ni kuwa na lugha nzur anapoanza biashara then huwa mkal na mwenye kejeli mwishon wa biashara na ndivyo ulivyo wewe. ila narudia tena laana ya utapeli utakuja kuijua baadae, we kuwa muwaz kuwa jaman nauza kitu fulan faida zake hizi na hasara hizi. mi nishawapa makaburu ela nasubr tu kombe la dunia ila kwa atakaenunu atuoe fdback kumbe la dunia likianza. asante kwa kunikana kuwa sio wewe ulieniuzua na ulisema huwa unarekodi zile namba za rcva mi baadae ntaiweka hapa uangalie km sipo kwenye list ya uliowauzia.

Mkuu huyu kwa maelezo yake anaonyesha nini alikufanyia na anataka kukusahaulisha machungu kwa sababu tu unaonekana kutia mchanga kwenye kitumbua chake mara oh mimi sitengenezi ni wachina Utapigi vipi debe kwa bidhaa usiyokuwa na uhakika nayo asante mkuu kwa kutujuza shame on you mganga njaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom