Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,204
- 128,012
Saa moja na nusu asubuhi J4 22/1
lisu anaenda kutukandia wapiga kura wake tunyimwe misaada duh
lkn nimejaribu kuchukua nafasi yake naona yuko sawa ata kama ni mimi nisingekaa kimya risasi 30 sio mchezo
get well soon kamanda
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante nitaamka mapema.kabisa.. Nikirekodi kipindi then niwe narudiarudia kuangalia siunajua kingreza hakipo kwenye rait trackSaa moja na nusu asubuhi J4 22/1
Tusi lipo wapi MkuuOii?
Hivi kuna mtanzania anaefurahia Lissu kupigwa risasi zile,na kibaya zaidi serikali imegoma kumpatia msaada wa matibabu kwa mjibu wa taratibu.
Hiyo tarehe 20 sizani kama kuna faili liatakalosainiwa yani siku nzima itakuwa ni kutafuta wakalimani wa kusaidia kutoa tafasiri isiyoyaumiza masikio
Hahahah unachekesha ujue, jiwe kingereza hakipo kwenye raiti traki...anabaki kusema intaprenyuaaaaAsante nitaamka mapema.kabisa.. Nikirekodi kipindi then niwe narudiarudia kuangalia siunajua kingreza hakipo kwenye rait track
Strong man rule ndio tawala kandamizaji?