Haha nzuri hiyo, Nyuzi kama hizi ni muhimu sanaa hasa kwa jamii zetu ambazo changamoto za kimaisha zinatukabili kila kukicha, kuna muda unaweza ukatamani kurudi nyuma, lakini kupitia nyuzi kama hizi kiukweli wengi wanaweza kuregain ile energy na spirit ya kupambana.Amen Kaka, naona wakati ule uzi kule unatiririka kuna wenzetu wamekata tamaa, tusimuache mtu nyuma! Leo nimepiga za Makete, Ukungu mtupu
Amen, MUNGU atupe uzima tuweze kuandaa hata ka tour kamoja tu kakumaliza mawazo kidogo, wenzetu wanakua na RETREAT nadhani majority tunahitaji Retreat, ngoja kesho nitaanzisha mada hioHaha nzuri hiyo, Nyuzi kama hizi ni muhimu sanaa hasa kwa jamii zetu ambazo changamoto za kimaisha zinatukabili kila kukicha, kuna muda unaweza ukatamani kurudi nyuma, lakini kupitia nyuzi kama hizi kiukweli wengi wanaweza kuregain ile energy na spirit ya kupambana.
Mkuu umetembea mulemule kwenye hisia zangu hasa ukifikiria kwa sasa kazi sina,mpenz wangu kanisaliti yaani kiufupi full stress ila naamini yote yatapita japo nikipindi kigumu sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Ngoja nikwambie kitu, Mkulima mmoja alikua na Punda wake, yule Punda alishamzalishia yule Mkulima kwa kipindi kitrefu sana hadi kuzeeka, kwa bahati mbaya wakati wanarejea nyumbani kutoka shamba mchana wa jua kali, walipokaribia jirani na nyumbani kutokana na uchovu pengine, Punda aliteleza akadumbukia kwenye kisima mabcho kilikua haikutumiki tena.Mkuu elli asante kwa uzi mzuri,kuna wakati waweza jiuliza nimekosea wapi!!maana kuomba Mungu unaomba sana lakin mambo hayaendi.Hamna kipindi kibaya kama kudharauliwa na kukimbiwa na watu wako wa karibu.
Maisha ni fumbo kubwa sana. aliyekuwa boss wako anaweza kuwa chini yako, aliyekuwa adui yako anaweza kuwa rafiki yako na mifano mingi mingi. Maisha hayana kanuni, maisha hayatabiriki, maisha, maisha.
Kuna watu muda huu wanahisi kudharauliwa, kunyanyasika, kukata tamaa, kukataliwa, ni kama vile dunia imefika mwisho kwao. Kama vile hakuna tena kesho. Kama vile hakutambazuka tena, kama vile dunia nzima imesimama kinyume na wewe, kama vile wapenzi wako wote wanakucheka, kama vile marafiki zako wote wamekukimbia. Nataka nikutie moyo kuwa USIKATE TAMAA, KUNA MTU ANAKUTEGEMEA, ANATAMANI AWE KAMA WEWE.
Dunia, watu, wapenzi, marafiki na hata watoto wako kamwe hawawezi kukupa kile kitu unakitaraji kila wakati kwahio tegemea kuna nyakati za kuachwa, kuacha, kuumia, kuumizwa, kulia, kucheka, kufurahi, kupata uwendawazimu na kila namna ya dunia hii. Usikubali, sema kuwa wewe ni zaidi ya hayo yote, utasimama tu, ni storm tu itapita. Ikishakupita kila kitu kitabaki kuwa histori na utajiuliza uliwazaje kupita katika hayo yote.
Mwaka 2008 nilifanya maamuzi ya kuacha kazi, kazi ilikua nzuri na sikua na majukumu kiivyo, niliishi vile nilivyopenda, nilipata kile nilichotaka lakini maamuzi ya kuacha kazi hayakua rahisi, ghafla nikajikuta nimesimama peke yangu. Kuna nyakati nilikesha hadi asubuhi, unajiuliza ni wapi ulimkosea MUNGU, unajiuliza ni nini hasa kosa lako hadi kustahili malipo makubwa na machungu kiasi hicho? Nataka nikutie moyo, yatapita, utasimama tena, Kuna nguvu ndani yako, isikilize na ifuate hio, pale unapoona sauti ya kukata tamaa na kukataliwa ikizidisha sauti ongeza SAUTI ya maombi na HOPE, Sema there will be tomorrow, sema wewe sio wa kwanza na hutakua wa mwisho.
Hakuna kitu kibaya kama kukata tamaa, hakuna dhambi kubwa kama kurudi nyuma kwasababu tu Mpenzi uliyemwamini amekuumiza moyo, amekusaliti, SIMAMA tena, simama, simama, unaweza, utapona, wanasema GIVE IT TIME, TIME HEALS. Usiwaze kulipa kisasi, wewe ni zaidi ya kisasi, wewe ni shujaa, endelea kuwa shujaa hata leo.
Ukikataliwa, Ukibezwa, ukidharauliwa, aaaghhh remember this, HAKUNA UA LINAOTA BILA KUFA KWANZA. simama, simama, simama, kwanini ukate tamaa leo? Mbina hukuwajua hawa kabla? Kwanini ukubali kuweka maisha yako rtehani kwa ajilki ya furaha ya muda uonekane mwema? Nakutia moyo simama, simama, simama. It is just a bad day, itapita. Ukiwa na hasira za kulipiza kisasi Nature itakukana, itakukataa, forgive and forget.
Usikate tamaa, tunakutegemea na wewe ndio role model wetu. Kesho pia ni siku.
Barikiwa
Naam mkuu@Da’Vinci
Tushirikishane tu ndugu hata kama ni privateYapo mambo katika maisha yana huzunisha sana na kukatisha tamaa haswa ila sio wote watakaoelewa maisha unayopitia thanks God kuna watu bado wana moyo wa kusaidia.Kwa niliyoyapitia ni kusudi la Mungu kuniinua kuniweka mahala pa juu