Usije Dar es Salaam -- huko mkoani usafiri, hali ya hewa, usalama viko vizuri sana

duuh na unatoka saa kumi nyumbai unaingia saa 3 usiku
Kurud nyumban kwanzia saa 3 na kuendelea alaf unarud umechoka balaa asubuhi unawaza uamke saa 10 au 11,nyumba chumba kmoja alaf hakina hata hadhi kivile unakuta unalipa 60k+ bado nauli kila siku unatoa

Unaweza kumaliza miaka 6 unafanya kaz ya kutafutia tumbo tu maana gharama unazotumia kuendesha maisha n kubwa mno kwa mikoan ungeweza kusave na kdogo ungeweza hata kutafuta kiwanja chako na kuanza kaujenzi, ila dar hata ukiwa na 3M ktu pekee utakacho waza n bata tu maana huwez kupata kiwanja mjin ila mikoan ukiwa nayo hiyo tyar una kiwanja na trip kadhaa za mawe.

Dar wanafaidi wenye pesa tu mimi nimeamua kuondoka huko, n miaka 6 sasa lakin nashukuru Mungu nimepiga maendeleo kias chake tofaut na muda nilio utumia kuish dar na nikaondoka na vtu vya ndan tu.
 
Yaani nimesoma mada… nikasoma comments zote… wengi wa wasoma comments Dar wamekuja kusalimia ndugu tu..
Sasa endeleeni kudanganyana kuhusu dar.
Kwa maneno machache DAR PATAMU SAAAAAANA.

Hongera bwana mwenyeji wa dar
 
Kurud nyumban kwanzia saa 3 na kuendelea alaf unarud umechoka balaa asubuhi unawaza uamke saa 10 au 11,nyumba chumba kmoja alaf hakina hata hadhi kivile unakuta unalipa 60k+ bado nauk kila siku unatoa

Unaweza kumaliza miaka 6 unafanya kaz ya kutafutia tumbo tu maana gharama unazotumia kuendesha maisha n kubwa mno kwa mikoan ungeweza kusave na kdogo ungeweza hata kutafuta kiwanja chako na kuanza kaujenzi, ila dar hata ukiwa na 3M ktu pekee utakacho waza n bata tu maana huwez kupata kiwanja mjin ila mikoan ukiwa nayo hiyo tyar una kiwanja na trip kadhaa za mawe.

Dar wanafaidi wenye pesa tu mimi nimeamua kuondoka huko, n miaka 6 sasa lakin nashukuru Mungu nimepiga maendeleo kias chake tofaut na muda nilio utumia kuish dar na nikaondoka na vtu vya ndan tu.

ahsante kwa ushuhuda kiongozi mimi mwenyewe niko mbioni kuiga strategy yako
 
Dar ndio sehemu pekee ya Tanzania ambayo kila mtu anavuja jasho. Jana nilipanda treni baada ya miaka kama mitatu sijalitumia aisee kila mtu anavuja jasho. Ukiwa mkoani kama Moshi ukavuja jasho mtu anakwambia yani ni kama ukichafuka shati unavyoambiwa. Ila Dar tunaishi as if kuvuja mijasho ndio afya, joto kila kona.

Bado hujagusia kula mavyakula ya kijinga mtaani. Nilienda Iringa last year miezi michache, siku ya kwanza niko mgahawani nikaagiza ugali samaki. Ebwana eeh kile chakula nilishtuka kula, plus waliongeza mboga na njegele. Nikaanza kusikitika kumbe Dar tunalishwa makapi, nikagundua vyakula nnavyokula Dar havina radha tamu na halisi kama vya Iringa.

Dar kuzuri ila kero nyingi
 
Majitu ya vijijini utayajua tu, Dar jiji zuri sana kwa kupiga kazi na biashara pia. Dar usije tu kama ni mbabaishaji, elimu ndogo, kula kulala, au mtu mzima huna chochote kazi kuzurura zurura tu, kucheza bet kutwa, hutaki kazi, mvivu etc, hapo utapaona pabaya sana. Ila Dar maisha matamu sanaaa
 
Nimesoma dar secondary na chuo now Niko kusini huku kikazi kwa kweli na enjoy Sana kila kitu kinapatikana Kama Ni mademu huku usipime..maisha simple yaani inshort maisha yako mikoani chumba Cha 70000 dar huku napangisha 30000

 
Dar kumekua na joto mpaka siku hizi natembea na taulo la kufuta majasho.
 
Binafsi naweza kusema nimezaliwa dar, nikasoma most ya shule hapa Dar pamoja pia kuna mikoa nilisoma kama Mbeya, Iringa na Dodoma Ila chuo Kikuu na hadi masters ni hapa Dar na kazi niliajiriwa hapa na Sasa Nina ofisi binafsi nayo inanilazimu iwe hapahapa mjini kwa nature ya kazi nazifanya na wateja.

Nimeoa hapahapa, nikajenga hapahapa na Sasa najenga Tena hapahapa, watoto wanasoma hapahapa nao washakuwa waswahili maana kijijini wanaenda ikifika mwisho wa mwaka nako wanaenda sababu Kuna wenzao wanaenda so wanakutana huko otherwise wangekataa kwenda.

Nataka kusema hivi, usingekuwa haya yote hapo juu huu mji ningehama zamani na nisingeutamani kuishi, maisha Yana stress sana hapa mjini, mjini hakun shamba na muda wa kulima hata bustani unakosekana maana muda wote upo barabarani tu kutafuta riziki.

Dar es salaam nitaendelea kuishi mpaka vijana watakapokuwa wanaweza kujitegemea kwakweli narudi mkoani ambalo naamini nitajenga nyumba ya kuishi na wajukuu zangu bila stress na nikae na mifugo kadhaa na kulima hata mboga na matunda.

Haya maisha ya bongo tunayaweza wenyewe tu sababu ya ubishi na hatuna mbadala Ila Yana stress kubwa sana na sababu tuna nguvu na akili ya kutafuta basi inatulazimu kuishi Ila umri ukisogea heri ukapumzike mkoani kama una miradi yako midogo ya kujifanya uishi vizuri Hama kakar huko.
 
Binafsi naweza kusema nimezaliwa dar, nikasoma most ya shule hapa Dar pamoja pia kuna mikoa nilisoma kama Mbeya, Iringa na Dodoma Ila chuo Kikuu na hadi masters ni hapa Dar na kazi niliajiriwa hapa na Sasa Nina ofisi binafsi nayo inanilazimu iwe hapahapa mjini kwa nature ya kazi nazifanya na wateja.

Nimeoa hapahapa, nikajenga hapahapa na Sasa najenga Tena hapahapa, watoto wanasoma hapahapa nao washakuwa waswahili maana kijijini wanaenda ikifika mwisho wa mwaka nako wanaenda sababu Kuna wenzao wanaenda so wanakutana huko otherwise wangekataa kwenda.

Nataka kusema hivi, usingekuwa haya yote hapo juu huu mji ningehama zamani na nisingeutamani kuishi, maisha Yana stress sana hapa mjini, mjini hakun shamba na muda wa kulima hata bustani unakosekana maana muda wote upo barabarani tu kutafuta riziki.

Dar es salaam nitaendelea kuishi mpaka vijana watakapokuwa wanaweza kujitegemea kwakweli narudi mkoani ambalo naamini nitajenga nyumba ya kuishi na wajukuu zangu bila stress na nikae na mifugo kadhaa na kulima hata mboga na matunda.

Haya maisha ya bongo tunayaweza wenyewe tu sababu ya ubishi na hatuna mbadala Ila Yana stress kubwa sana na sababu tuna nguvu na akili ya kutafuta basi inatulazimu kuishi Ila umri ukisogea heri ukapumzike mkoani kama una miradi yako midogo ya kujifanya uishi vizuri Hama kakar huko.
Kama una plan ya mkoan andaa eneo kabisa. Mfano kama mkoa wa morogoro kuna sehemu zamani palikua ni mashamba na mapori lakini siku hizi watu wamejenga so overtime nako kutakua na maeneo machache.
 
Dar ni nzuri kwa wabishi....apartment palm beach au masaki full AC hakuna mbanano..
Kufika town ni kugusa tu...tena wamewekewa Daraja lao pale Coco...

Japo pia unaweza kuishi Manzese, Tandale, Kijitonyama,Magomeni, Ilala, Kinondoni, Mburahati, Kigogo, nk maisha yakawa rahisi tu kuingia town na kutoka ...unamka kawaida unafika home mapema tu....
 
Binafsi naweza kusema nimezaliwa dar, nikasoma most ya shule hapa Dar pamoja pia kuna mikoa nilisoma kama Mbeya, Iringa na Dodoma Ila chuo Kikuu na hadi masters ni hapa Dar na kazi niliajiriwa hapa na Sasa Nina ofisi binafsi nayo inanilazimu iwe hapahapa mjini kwa nature ya kazi nazifanya na wateja.

Nimeoa hapahapa, nikajenga hapahapa na Sasa najenga Tena hapahapa, watoto wanasoma hapahapa nao washakuwa waswahili maana kijijini wanaenda ikifika mwisho wa mwaka nako wanaenda sababu Kuna wenzao wanaenda so wanakutana huko otherwise wangekataa kwenda.

Nataka kusema hivi, usingekuwa haya yote hapo juu huu mji ningehama zamani na nisingeutamani kuishi, maisha Yana stress sana hapa mjini, mjini hakun shamba na muda wa kulima hata bustani unakosekana maana muda wote upo barabarani tu kutafuta riziki.

Dar es salaam nitaendelea kuishi mpaka vijana watakapokuwa wanaweza kujitegemea kwakweli narudi mkoani ambalo naamini nitajenga nyumba ya kuishi na wajukuu zangu bila stress na nikae na mifugo kadhaa na kulima hata mboga na matunda.

Haya maisha ya bongo tunayaweza wenyewe tu sababu ya ubishi na hatuna mbadala Ila Yana stress kubwa sana na sababu tuna nguvu na akili ya kutafuta basi inatulazimu kuishi Ila umri ukisogea heri ukapumzike mkoani kama una miradi yako midogo ya kujifanya uishi vizuri Hama kakar huko.

Nenda Kibaha nunua eka 3 - 5 jenga, lima bustani, fuga, panda miti upate hewa nk...

Kibaha to town,Magu katuwekea njia tano tunapuyanga tu mpaka posta 45mins....
 
Inakuwaje sasa waliolazimishwa na mwendazake kwenda dom wanamlaani mpka kesho?
Inakuwaje sasa ikifika tu ijumaa mchana mabasi yote ya dom daf yanajaa, ndege zinajaa, mashangingi yanashindana tu mibio kuwahi dar?
Halafu mbona mabalozi wa nchi zoote wamegoma kuhama hapa kwenhe jiji unaloita la mashetani ingawa walipewa viwanja huko dom?
Nasiku hzi matamko yote ya nchi yanatokea jumba jeupe pale magogoni karibia na bahari inayonuka.
WACHA WIVU SEMA UNAJILIWAZA KISA UMEHAMISHIWA DODOMA AMBAPO WATU WOOOTE ETI MNAKUTANAGA BAMBALAGA
 
Back
Top Bottom