Jamani wezi amini mpaka sasa ni mwezi na. Watu wanauziwa mizoga ya ngombe jiji Tanga na wausika wa Afya wapo wanaangalia tu!
Kilo ya nyama 2000 mpaka 1500 na wakuu wapo wanaangalia tu.
MODS weka hii kitu kwenye jukwaa la nyama
Dah "shamsi" kamanda nimeishi mtaa ile miaka ya 1998-2000 inawezekana Nyama ya ng'ombe wanaokufa kwa njaa UMASAINI huko mkuu
Jamani hii isue inazaidi ya mwezi wewe elewa hivyo
Jamani wezi amini mpaka sasa ni mwezi na. Watu wanauziwa mizoga ya ngombe jiji Tanga na wausika wa Afya wapo wanaangalia tu!
Kilo ya nyama 2000 mpaka 1500 na wakuu wapo wanaangalia tu.
Dah "shamsi" kamanda nimeishi mtaa ile miaka ya 1998-2000 inawezekana Nyama ya ng'ombe wanaokufa kwa njaa UMASAINI huko mkuu
Jamani wezi amini mpaka sasa ni mwezi na. Watu wanauziwa mizoga ya ngombe jiji Tanga na wausika wa Afya wapo wanaangalia tu!
Kilo ya nyama 2000 mpaka 1500 na wakuu wapo wanaangalia tu.
hahaaaaa Jukwaa la Nyama tena..duuu
kazi kweli kweli
Jamani wezi amini mpaka sasa ni mwezi na. Watu wanauziwa mizoga ya ngombe jiji Tanga na wausika wa Afya wapo wanaangalia tu!
Kilo ya nyama 2000 mpaka 1500 na wakuu wapo wanaangalia tu.