seyayi
JF-Expert Member
- Feb 12, 2018
- 681
- 802
Mshana Jr,umepiga penyewe Leo,yaani nilipoona huu Uzi nikakamilisha niliyokuwa siyaamini.
Kwa bahati mbaya niliyoyabeba ndani ya moyo wangu nashindwa kuyamwaga hapa jukwaani maana baba mkwe yumo humu tena ni mtu maarufu humu.
Nina mshukuru Mungu napumua,niliapa mtoto wangu kamwe hata kuja kuoa/kuolewa familia nisiyo ihakiki.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa bahati mbaya niliyoyabeba ndani ya moyo wangu nashindwa kuyamwaga hapa jukwaani maana baba mkwe yumo humu tena ni mtu maarufu humu.
Nina mshukuru Mungu napumua,niliapa mtoto wangu kamwe hata kuja kuoa/kuolewa familia nisiyo ihakiki.
Sent using Jamii Forums mobile app