Usiharibu chakula chako, dawa iko hapa kwa Chef BUJIBUJI

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Feb 4, 2009
74,462
154,344
MAMBO TISA UNAYOWEZA KUFANYA KATIKA CHAKULA CHAKO KAMA MAMBO YAMEENDA NDIVYO SIVYO

1.Chumvi ikizidi kwenye mchuzi menya kiazi mviringo weka kwenye chakula unachopika, acha ichemke chumvi itapungua sana

2. Ukiunguza wali kata kitunguu maji nusu weka kwenye wali Funika kwa dakika tano kinasaidia kutoa harufu ya moshi

3. Tui lisipokolea kwenye maharage weka unga wa sembe tikisa acha itokote hata kama nazi ni nusu itakua kama umeweka nazi tatu

4. Maharage ukitaka yaive upesi weka kijiko cha baking powder

5. Mchuzi wa maini ukitaka uwe rost nzito au mchuzi wowote na hauna nyanya za kutosha weka kijiko kimoja cha chakula unga wa ngano ukoroge na maji kidogo then weka kwa mchuzi wacha uchemke dk 5

6. Muhogo ukiwa chelema weka making powder kijiko kimoja

7. Nyama ikiwa ngumu au ukitaka ilainike upesi kwangulia papaio bichi

8. wali ukishika, ukiungua, kabla ya kufunikia, waweza pia tumia margarine au blue band, ukipakua harufu ya kuungua haitokuwepo tena

9.carrot iwe fresh kama imesinyaa kwa fridge weka kwenye maji ya barridi nusu saa itakua kama imetoka shamba…… Maisha Ni JIKOOO

USIWE MCHOYO WA MAARIFA WATUMIE NA WENZAKO
 
Hoho, kitunguu maji na giligiliani vinasaidia kukata shombo, iwe nyama yeyote hata samaki.
 
MAMBO TISA UNAYOWEZA KUFANYA KATIKA CHAKULA CHAKO KAMA MAMBO YAMEENDA NDIVYO SIVYO

1.Chumvi ikizidi kwenye mchuzi menya kiazi mviringo weka kwenye chakula unachopika, acha ichemke chumvi itapungua sana

2. Ukiunguza wali kata kitunguu maji nusu weka kwenye wali Funika kwa dakika tano kinasaidia kutoa harufu ya moshi

3. Tui lisipokolea kwenye maharage weka unga wa sembe tikisa acha itokote hata kama nazi ni nusu itakua kama umeweka nazi tatu

4. Maharage ukitaka yaive upesi weka kijiko cha baking powder

5. Mchuzi wa maini ukitaka uwe rost nzito au mchuzi wowote na hauna nyanya za kutosha weka kijiko kimoja cha chakula unga wa ngano ukoroge na maji kidogo then weka kwa mchuzi wacha uchemke dk 5

6. Muhogo ukiwa chelema weka making powder kijiko kimoja

7. Nyama ikiwa ngumu au ukitaka ilainike upesi kwangulia papaio bichi

8. wali ukishika, ukiungua, kabla ya kufunikia, waweza pia tumia margarine au blue band, ukipakua harufu ya kuungua haitokuwepo tena

9.carrot iwe fresh kama imesinyaa kwa fridge weka kwenye maji ya barridi nusu saa itakua kama imetoka shamba…… Maisha Ni JIKOOO

USIWE MCHOYO WA MAARIFA WATUMIE NA WENZAKO
No:1
Je chumvi ikizidi kwenye rost la viazi???niweke nini ipungue

Kingsmann

Sent from my Redmi Note 8 Pro using JamiiForums mobile app
 
MAMBO TISA UNAYOWEZA KUFANYA KATIKA CHAKULA CHAKO KAMA MAMBO YAMEENDA NDIVYO SIVYO

1.Chumvi ikizidi kwenye mchuzi menya kiazi mviringo weka kwenye chakula unachopika, acha ichemke chumvi itapungua sana

2. Ukiunguza wali kata kitunguu maji nusu weka kwenye wali Funika kwa dakika tano kinasaidia kutoa harufu ya moshi

3. Tui lisipokolea kwenye maharage weka unga wa sembe tikisa acha itokote hata kama nazi ni nusu itakua kama umeweka nazi tatu

4. Maharage ukitaka yaive upesi weka kijiko cha baking powder

5. Mchuzi wa maini ukitaka uwe rost nzito au mchuzi wowote na hauna nyanya za kutosha weka kijiko kimoja cha chakula unga wa ngano ukoroge na maji kidogo then weka kwa mchuzi wacha uchemke dk 5

6. Muhogo ukiwa chelema weka making powder kijiko kimoja

7. Nyama ikiwa ngumu au ukitaka ilainike upesi kwangulia papaio bichi

8. wali ukishika, ukiungua, kabla ya kufunikia, waweza pia tumia margarine au blue band, ukipakua harufu ya kuungua haitokuwepo tena

9.carrot iwe fresh kama imesinyaa kwa fridge weka kwenye maji ya barridi nusu saa itakua kama imetoka shamba…… Maisha Ni JIKOOO

USIWE MCHOYO WA MAARIFA WATUMIE NA WENZAKO
Ubarikiwe sana uzi murua huu itapwa
 
Nasumbuliwa sana na kiungulia, hasa nikila maharage na viazi vitamu. Siku hizi napata kiungulia hata ugali wa dona ninaoupenda sana! Nifanye nini wataalam ili nipone?
 
MAMBO TISA UNAYOWEZA KUFANYA KATIKA CHAKULA CHAKO KAMA MAMBO YAMEENDA NDIVYO SIVYO

1.Chumvi ikizidi kwenye mchuzi menya kiazi mviringo weka kwenye chakula unachopika, acha ichemke chumvi itapungua sana

2. Ukiunguza wali kata kitunguu maji nusu weka kwenye wali Funika kwa dakika tano kinasaidia kutoa harufu ya moshi

3. Tui lisipokolea kwenye maharage weka unga wa sembe tikisa acha itokote hata kama nazi ni nusu itakua kama umeweka nazi tatu

4. Maharage ukitaka yaive upesi weka kijiko cha baking powder

5. Mchuzi wa maini ukitaka uwe rost nzito au mchuzi wowote na hauna nyanya za kutosha weka kijiko kimoja cha chakula unga wa ngano ukoroge na maji kidogo then weka kwa mchuzi wacha uchemke dk 5

6. Muhogo ukiwa chelema weka making powder kijiko kimoja

7. Nyama ikiwa ngumu au ukitaka ilainike upesi kwangulia papaio bichi

8. wali ukishika, ukiungua, kabla ya kufunikia, waweza pia tumia margarine au blue band, ukipakua harufu ya kuungua haitokuwepo tena

9.carrot iwe fresh kama imesinyaa kwa fridge weka kwenye maji ya barridi nusu saa itakua kama imetoka shamba…… Maisha Ni JIKOOO

USIWE MCHOYO WA MAARIFA WATUMIE NA WENZAKO
Inapendezesha
 
MAMBO TISA UNAYOWEZA KUFANYA KATIKA CHAKULA CHAKO KAMA MAMBO YAMEENDA NDIVYO SIVYO

1.Chumvi ikizidi kwenye mchuzi menya kiazi mviringo weka kwenye chakula unachopika, acha ichemke chumvi itapungua sana

2. Ukiunguza wali kata kitunguu maji nusu weka kwenye wali Funika kwa dakika tano kinasaidia kutoa harufu ya moshi

3. Tui lisipokolea kwenye maharage weka unga wa sembe tikisa acha itokote hata kama nazi ni nusu itakua kama umeweka nazi tatu

4. Maharage ukitaka yaive upesi weka kijiko cha baking powder

5. Mchuzi wa maini ukitaka uwe rost nzito au mchuzi wowote na hauna nyanya za kutosha weka kijiko kimoja cha chakula unga wa ngano ukoroge na maji kidogo then weka kwa mchuzi wacha uchemke dk 5

6. Muhogo ukiwa chelema weka making powder kijiko kimoja

7. Nyama ikiwa ngumu au ukitaka ilainike upesi kwangulia papaio bichi

8. wali ukishika, ukiungua, kabla ya kufunikia, waweza pia tumia margarine au blue band, ukipakua harufu ya kuungua haitokuwepo tena

9.carrot iwe fresh kama imesinyaa kwa fridge weka kwenye maji ya barridi nusu saa itakua kama imetoka shamba…… Maisha Ni JIKOOO

USIWE MCHOYO WA MAARIFA WATUMIE NA WENZAKO
will be back
 
13 Reactions
Reply
Back
Top Bottom