nelly williamson
Member
- Sep 16, 2014
- 68
- 5
Chuo cha Utabibu na Sayansi ya Afya Tandabui kinatoa nafasi za masomo ya afya kwa ngazi ya Stashahada na Diploma kwa kozi za Utabibu, Uuguzi, Utaalamu wa Maabara, na Utunzaji Kumbukumbu za Afya.
Sifa: Uwe umemaliza Kidato cha Nne na kuwa na ufaulu angalau alama D ya somo lolote la Sayansi. Kwa maelezo zaidi, Piga simu no: 0712 910 319 au 0762 639 452.
Sifa: Uwe umemaliza Kidato cha Nne na kuwa na ufaulu angalau alama D ya somo lolote la Sayansi. Kwa maelezo zaidi, Piga simu no: 0712 910 319 au 0762 639 452.