NimekujaSaint Ivuga njoo nmekumisi
morningNimekuja
Umenichum asubuhi subuhi hadi nimetabasam.morning
Haha nmekuanzishia siku yako kwa tabasamu muruaUmenichum asubuhi subuhi hadi nimetabasam.
Cc wewe
Na siende tena kunwa supu.Haha nmekuanzishia siku yako kwa tabasamu murua
Bitu ambavyo mi sifanyi ni kuuluza ma ex wako.Kwaiyo hutaniuliza nani alinitoa bikra.....
Nmesahau bhan kumbe me bdo virgin
Wote wapo sahihi mno. Ukweli wa mapema ni mzuri kuliko ukweli wa kujulikana kitambo baada ya maafa kutokea.Wewe hujielewi ila mwanamke wako hajielewi zaidi, unawezaje kusema wazi ulitoa mimba???!.
Ila ukijua baadhi ya info inakusaidia kupredict tabia yake ilikuajeSwadaktaa mkuu,halafu ukute nayo aliyokwambia ni robot tu ya yote aliyowahi kufanya.
Me huwa najisemea kuwa mwanmke akiniambia kishatembea na wanaume wanne,basi huwa nafanya kuzidisha Mara tatu yake
kwaiyo niko mm tu na relato? Au kama kawaida wadada wa kuflirt kwenye cm yako wako wengi si utaniua na presha kam tabia zako ndo hzhizBitu ambavyo mi sifanyi ni kuuluza ma ex wako.
Na kupekua simu yako.
Huo ni mwiko. Ila sim yangu nakuruhusu hata uende ukaoge nayo.
Na huwa si pritendi. Ndio maana nikamtambulisha relato ili ujue.
Ila ujue kama ulivyo bikra na mwenzako naye ni bikra.
Sasa jiulizeni mwanaume mashine . Mme wenu mashine kwa nani?
Tunzeni tu hioz naniliu zenu
Wote wapo sahihi mno. Ukweli wa mapema ni mzuri kuliko ukweli wa kujulikana kitambo baada ya maafa kutokea.Wewe hujielewi ila mwanamke wako hajielewi zaidi, unawezaje kusema wazi ulitoa mimba???!.
Kumbe hamsemagi! Point takenWewe hujielewi ila mwanamke wako hajielewi zaidi, unawezaje kusema wazi ulitoa mimba???!.
Hahahaa umekuja na sururu kabisaNimekimbia kote huko nikadhani ni kuhusu kufukua makaburi ya watu wa huku JF hahaha...
Ila poa mkuu..somo zuri sana
Kumbe mnafichaga! Point takenhuyo nae sasa alikuambia yote hayo ili iweje
Duu! KumbeHuyo demu nae kiazi
Unaanzia wapi kumwambia mwanaume kuwa ulitoa mimba?
Kwanza ukiuliza ulikuwa na wenza wangapi nitakwambia wewe ni wa pili....
Lipuwaneni na makaburi yenu