Usifanye kosa hili tafadhali!!!!

Mtama

Member
Nov 8, 2010
63
0
Moja ya makosa wapendanao hulifanya ni kutaka kumbadilisha mwenzi wako kutoka tabia aliyonayo awe kama vakavyo,for your imformation hakuna binadamu mwenye uwezo wa kumbadilisha binadamu mwingine,kama atabadilika ni kwa muda tu na mara nyingi watu hupretand kubadilika wakati penzi jipya akikuzoea anarudia tena kwa kiwango kikubwa,au kama ni mwanamke atajidai kubadilika kwa sababu ya ubabe wa mwanaume akikuzoea atarejea kwenye tabia yake zaidi ya zamani,kama mwenzi wako anatabia unataka msubirie siku ana furaha mwite kwa upendo wa hali ya juu mwambie kwa mahaba,usimlazimishe,baada ya hapo endelea kumounesha upendo mkubwa
 
Moja ya makosa wapendanao hulifanya ni kutaka kumbadilisha mwenzi wako kutoka tabia aliyonayo awe kama vakavyo,for your imformation hakuna binadamu mwenye uwezo wa kumbadilisha binadamu mwingine,kama atabadilika ni kwa muda tu na mara nyingi watu hupretand kubadilika wakati penzi jipya akikuzoea anarudia tena kwa kiwango kikubwa,au kama ni mwanamke atajidai kubadilika kwa sababu ya ubabe wa mwanaume akikuzoea atarejea kwenye tabia yake zaidi ya zamani,kama mwenzi wako anatabia unataka msubirie siku ana furaha mwite kwa upendo wa hali ya juu mwambie kwa mahaba,usimlazimishe,baada ya hapo endelea kumounesha upendo mkubwa


Kubadilika yawezekana Mtama!!!!, Mimi nimebadilishwa na shemegio, nimetoka kubayani, lakini kwa mapenzi na mabembelezo hapa na pale , nimenyooka!!.

Yote yategemea mapenzi, kama wampenda mtu, kugeuka si tatizo.
 
Nami pia nilisema kwa upendo wa hali ya juu mtu huamua kubadilika mwenyewe na sio kubadilishwa na mtu,huo ndio ukweli
 
Nami pia nilisema kwa upendo wa hali ya juu mtu huamua kubadilika mwenyewe na sio kubadilishwa na mtu,huo ndio ukweli

Ulichosema mwanzo ulikuwa sahihi saana Mtama, sasa mbona unataka kulegeza msimamo kwa maneno mazuri ya 'chiko'?. Ukweli ni ule uliosema na Chiko akija oneshwa otherwise katika mapenzi atarudia tu kule kubaya hivyo msimamo ni ule ule huwezi badili tabia ya mtu moja kwa moja, ila kwa a certain period inawezekana.
 
:nono:Mtama, nashindwa kuhukumu uliyoyasema lakini nashawishika kupinga na hii nikutokana na various psychological research amabazo zinatambua kwamba mwnadamu ana tabia nyingi lakini ktk hizo anabadilika na hii nikwakutegemea umetumia njia zipi na kwa muda gani!
kumbadilisha mtu ni taaluma ambayo watu husomea na nio maana vituo vya ushauri vipo,lakini hapo bongo vimewalenga zaidi waathirika wa HIV,
na kusahau waathirika wengine.
 
tabia za wapendanao ni kama ktk soka mtu hujikuta anaiga za mwenziye bila yeye kufahamu, ila tu kama mmependana wala hutumii nguvu utajikuta yumo ktk tabia yako
 
kama unampenda mtu sana,unajikuta unabadilika automatic,bila ya kulazimishwa.ila kama hakuna mapenzi ni ngumu mtu kubadilika.mfano ukimpenda mtu,unakuwa tayari kubadili dini kwa ajili ya yule mtu,lakini kama ndoa ikifa,wengi wao hurudi katika dini zao za kawaida labda hiyo ndoa iwe ya muda mrefu.Au kama ulikuwa mlevi,unaweza ukaacha,lakini maudhi yakizidi ndani pombe unairudia tena
 
sometimes inatokea hadi mnakua mnafanana hivi,sa usipo badilika tambua kuwa umekosea njia
 
Back
Top Bottom