lee Vladimir cleef
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 9,146
- 33,295
Unaongea tu wewe.Hujui kitu mdogo wangu.Si umeona na mimi huwa nataka mwanaume ambae yupo straight sipendi drama drama kuna mambo mengi ya kufanya mahusiano ni part tu ya maisha
Ukinifuma na nikaomba msamaha usiweze kunisamehe nifukuze
Sio sijui unahama chumba,sijui huli chakula etc ni utoto na ujinga kwangu
Na incase huniachi ukanipa mateso ya kisaikolojia kitakacho kupata mbeleni tusilaumiane.
Wanaume nyie ni weak kuliko sisi ndio maana hamuwezi kuvumilia mkijua tumechepuka tofauti na sisi.Mtu kama mimi adhabu kuu unayo weza kunipa ni kuniacha ila usilete drama hatutoishia pazuri
Utakachokifanya Jamii itaishia kukuona tu Malaya,na watu wataconclud kwamba kumbe jamaa kweli alikua Ana haki ya kukuacha,kumbe wewe uko kwenye ligi na mumeo.
Lakini mwanaume atasifiwa",aah jamaa kachukua kifaa kipya kabisa.unajua bana kata mti panda mti."
Hata ndugu na wazazi wako watakua wanyonge kwa Tabia zako mpya.
Mwanamke Ni tofauti na me.
Jamii nzima inamuangalia mwanamke kama kiumbe mstaarabu.
Hata watakao kuwa wanakuchapa watakugeuza hit and run.sasa hi sio nzuri.