Surya
JF-Expert Member
- Jun 7, 2015
- 8,378
- 12,573
Niite mtumishi tu, 😁😁Asante malaika mkuu kitenge cha mahusiano
Nilishavuka huko though
Niite mtumishi tu, 😁😁Asante malaika mkuu kitenge cha mahusiano
Nilishavuka huko though
sijatukana bali nimetoa moja ya sifa za mtu ambae ni kahaba, kuwa yeye hawez umia kwakuwa umekatisha nae mawasiliano ndani ya nyumba, wala ategemei kuwa mme/ mke wake nisehem ya furaha yake. Yeye yupo kwaajir ya kitu tu bas
Eti maisha binafsi, nyie viumbe mpo kwa ajili yetu , mna gepu ambalo wanaume inatakiwa tulifill Mara kwa Mara ili lisibaki empty kwa kipindi kirefu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu anatheorise tuWahanga wa kuchapiwa mkuje hapa mchote maujanja ya kukabiliana na kuchapiwa
Niite mtumishi tu,
Una undugu na Joyce Kiria? Au ndio wewe?Ni kweli
Lakini wanaume wengi mnaishi na sisi bila kutumia akili but ubabe
Sasa hapo ni tatizo
Duu 🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃 Hapa hapakaliki...Si umeona na mimi huwa nataka mwanaume ambae yupo straight sipendi drama drama kuna mambo mengi ya kufanya mahusiano ni part tu ya maisha
Ukinifuma na nikaomba msamaha usiweze kunisamehe nifukuze
Sio sijui unahama chumba,sijui huli chakula etc ni utoto na ujinga kwangu
Na incase huniachi ukanipa mateso ya kisaikolojia kitakacho kupata mbeleni tusilaumiane.
Wanaume nyie ni weak kuliko sisi ndio maana hamuwezi kuvumilia mkijua tumechepuka tofauti na sisi.Mtu kama mimi adhabu kuu unayo weza kunipa ni kuniacha ila usilete drama hatutoishia pazuri
Hakuna aliye msafi mbele za Mungu.Hapana Surya wewe ni malaika mtakatifu una uwezo wa kuhesabia madhambi ya watu huku wewe ukiwa mweupe kama theluji
Rafiki tuombee sisi wadhambi tufike huko ulipo
Hakuna aliye msafi mbele za Mungu.
Wote tumetenda dhambi.
Najua wewe ni Mkristo.
Sita sema jambo lingine maana utalalamika naku judge.
But: natumia wingi, Yesu anatupenda jinsi tulivyo. Tumshikirie haswa.
Sio tu kukuacha!! nakuacha ila sio kwa usalama!!!Si umeona na mimi huwa nataka mwanaume ambae yupo straight sipendi drama drama kuna mambo mengi ya kufanya mahusiano ni part tu ya maisha
Ukinifuma na nikaomba msamaha usiweze kunisamehe nifukuze
Sio sijui unahama chumba,sijui huli chakula etc ni utoto na ujinga kwangu
Na incase huniachi ukanipa mateso ya kisaikolojia kitakacho kupata mbeleni tusilaumiane.
Wanaume nyie ni weak kuliko sisi ndio maana hamuwezi kuvumilia mkijua tumechepuka tofauti na sisi.Mtu kama mimi adhabu kuu unayo weza kunipa ni kuniacha ila usilete drama hatutoishia pazuri
Ila sijui!! uliyoandika hayawezi kuaply kabisa kwenye nafsi yangu!! Siwezi kukaa na nyoka ndani!! Ndivyo nilivyofundishwa na wazee wa kale!! Aidha nipige kichwa cha nyoka nimuue nyoka!! Au nimuache anitemee sumu aniue!! Ila kifupi siwezi kulala na nyoka nyumba moja!! Bible tiyali ilitoa muongozo kuhusu nyoka!!
Neno nililokupa kama advice kwako.Kulalamika si jadi yangu
Umeleta mambo ya zamani ulikuwa na nia si nzuri ni mbaya,mimi huwa namuona mtu anacho kitaka kwangu kama si kizuri huwezi kuniona na panic
Bahati mbaya umekurupuka hujaelewa hoja yangu
Soma vizuri Kuna comment nyingine nimeziweka nimeelezea sitetei kucheat ila kwanini ukimfumania mtu usimfukuze badala ya kuleta drama?
Sasa surya kwanza ukaona namna nzuri ya kunitoa kwenye reli ni kuleta mambo yangu ya nyuma hapa,pili siku nyingine unaweza kuja kusutwa kaka yangu maana hayo yalisha pita
Kuna kisa kimoja umenikumbusha kupitia hili kilinifunza sana kuto kuongelea jana ya mtu tena haswa kwa mkristu kama wewe unavyojiita.Unajuaje labda nilisha mlilia Mungu wangu na akanisamehe makosa yangu,nimepatana na niliemkosea huku wewe ukiwa bado umeshikilia bango jana yangu,ndio maana nikakuita malaika,sijataka hata kupitia nyuzi zako za nyuma pengine una yako pia
Jikite kwenye mada,be a logic thinker like other men
Sio tu kukuacha!! nakuacha ila sio kwa usalama!!!
Vipi yule mme wa mtu aliyetaka kukuoa, mliishia wapi?Asante malaika mkuu kitengo cha mahusiano
Nilishavuka huko though
Neno nililokupa kama advice kwako.
Siwezi kulitengua.
Imenipasa kukushauri hivo.
Na haijalishi uko vipi kwa sasa au umebadilika kiasi gani.
Neno nililokupa linakifaa kwa sasa wewe lifanyie kazi. full stop.
Au unataka nianze kujieleza kwanini nimeshauri hivo ? Hata kwa kuona comment yako ya leo bado imenipasa nikushauri vile vile.
Wewe ni msichana huru na unaye jitambua. Kama hautabadilisha msimamo wako utafika mbali kimaisha.Kulalamika si jadi yangu
Umeleta mambo ya zamani ulikuwa na nia si nzuri ni mbaya,mimi huwa namuona mtu anacho kitaka kwangu kama si kizuri huwezi kuniona na panic
Bahati mbaya umekurupuka hujaelewa hoja yangu
Soma vizuri Kuna comment nyingine nimeziweka nimeelezea sitetei kucheat ila kwanini ukimfumania mtu usimfukuze badala ya kuleta drama?
Sasa surya kwanza ukaona namna nzuri ya kunitoa kwenye reli ni kuleta mambo yangu ya nyuma hapa,pili siku nyingine unaweza kuja kusutwa kaka yangu maana hayo yalisha pita
Kuna kisa kimoja umenikumbusha kupitia hili kilinifunza sana kuto kuongelea jana ya mtu tena haswa kwa mkristu kama wewe unavyojiita.Unajuaje labda nilisha mlilia Mungu wangu na akanisamehe makosa yangu,nimepatana na niliemkosea huku wewe ukiwa bado umeshikilia bango jana yangu,ndio maana nikakuita malaika,sijataka hata kupitia nyuzi zako za nyuma pengine una yako pia
Jikite kwenye mada,be a logic thinker like other men
Hakika! Ndio msimamo wangu kuhusu nyoka!! mzee mmoja aliwahi kunieleza kuhusu nyoka!! Nyoka akiingia kwako, fanya mambo mawili kwa haraka. kabla ujapatwa na jambo moja kubwa!!Wewe sasa ndio mwanaume
Vipi yule mme wa mtu aliyetaka kukuoa, mliishia wapi?
Kuna thread yako imefukuliwa huko sijui tu jinsi ya kuileta hapa