Chama cha mapinduzi (ccm) kimechoma moto ofisi zao na nyumba ya kiongozi wa kata IGUNGA. Taarifa za ndani ya chama zimeeleza mpango wa kufanya kitendo hicho ni kuteka mawazo ya wananchi wajue kwamba vyama vya upinzani ndio wafanya fujo na hatari kwa usalama wa taifa,wausika walio choma moto nyumba hiyo wameacha ujumbe na namba za simu za watu wa chadema ili kupoteza ushaidi. Mtazamo wangu-"TOKA LINI MWIZI AKAJITAJA AMEIBA?'