Usiende kariakoo

Baba yenu

JF-Expert Member
Jun 17, 2016
1,053
1,417
Dah!! Hili duka linakimbiza kwa sasa hapa mjini hatari... Huyu kijana ni mbunifu sijawah ona.

Juzi nimepita na kununua raba zangu pale kwake baada ya kuona matangazo ya biashara zake kwenye mitandao ya kijamii ambapo mwanzoni sikuamin kama itakuwa kweli maana bei ilikuwa cheap sana ila nilipoenda na kuuziwa bei ile ile aliyotangaza kwa social netwk nilimkubali

Very creative(kabuni kitu cha maana sana,maana sio wote tunapenda kwenda kariakoo ila bei ndo zinatupeleka sasa yeye kutuletea sinza bei zile za kariakoo katusaidia sana)

Yaan kwa style ile niliyoiona me kariakoo bye bye!!

Mtasema nampa promo ila acha nimpe maana kijana amenisaidia sana.

Huamin pitia dukan kwake hapo sinza madukani uone bei zake zilivyocheap maana me naona hata kkoo wanabei zaid yake

Na ukienda duka limejaa all the time

Sante sana kijana piga kaz Mungu atakuongezea
 
umepiga sana promo lakni ujamtaja muhusika wa hiyo duka,,,na bei ya viatu hvyo ni shngap,,je mkoani anatuma kama wale wegine wanavyosemaga na mikoani tunatuma,,,

lakn na waswas na hyo biashara aidha ni ndugu yako au rafiki yako maanaa siyo kwa promo hyo
 
umepiga sana promo lakni ujamtaja muhusika wa hiyo duka,,,na bei ya viatu hvyo ni shngap,,je mkoani anatuma kama wale wegine wanavyosemaga na mikoani tunatuma,,,

lakn na waswas na hyo biashara aidha ni ndugu yako au rafiki yako maanaa siyo kwa promo hyo
Hata kama akiwa ndugu yake na ikiwa anachoeleza ni ikweli nini mbaya?
 
umepiga sana promo lakni ujamtaja muhusika wa hiyo duka,,,na bei ya viatu hvyo ni shngap,,je mkoani anatuma kama wale wegine wanavyosemaga na mikoani tunatuma,,,

lakn na waswas na hyo biashara aidha ni ndugu yako au rafiki yako maanaa siyo kwa promo hyo
Fanya uende mpk sinza madukani uulizie duka linaitwa usiende kariakoo then utakachokutana nacho ulete feedback
 
Loohh na mie jana nilipita hapo sinza nikaona hilo.duka.aisehh kwl biashara ni ubunifu jamani
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom