MLA PANYA SWANGA
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 5,159
- 5,399
- Thread starter
- #41
Hapajajengwa kitu ni miti tu.Kalijenga yeye au bado limehodhiwa na mjerumani,msipende kuacha vitu vikining'inia.
Hapajajengwa kitu ni miti tu.Kalijenga yeye au bado limehodhiwa na mjerumani,msipende kuacha vitu vikining'inia.
Nchi hii ni tajiri, nimejitoa maisha kwa ajili ya Watanzania wanyonge(kauli ya mwendazake), wacha tuupige mwingi kwenye kutembeza vibaba na tozo.Hii Nchi ni tajiri kila idara Isipokuwa Watu wake, maana wengi ni MAMBUMBUMBU. Nimewahi kutembelea Udzungwa, Ruaha, Ngorongoro, Manyara, Serengeti, Mikumi, Kilimanjaro n.k katika hifadhi za Taifa na sehemu kadha wa kadha kwenye Machimbo ya Madini. Nilichokiona Sikuamini kama hivyo vyote ni Rasilimali yetu.
Nikagundua kuwa shida ni UMBUMBUMBU WA BAADHI YETU.