Usichokijua kuhusu maporomoko ya maji Kalambo falls Sumbawanga

MLA PANYA SWANGA

JF-Expert Member
Jul 31, 2015
5,159
5,399
Huwezi amini kila kitu kizuri kipo Tanzania,mlima mrefu upo Tanzania,madini adimu Tanzanite yapo hapa.
Kuna shida kuu ya umeme Tanzania tanesco wanahaha namna ya kuwaridhisha wananchi kwa kuwaepusha na mgao wa umeme bila mafanikio.

Lakini sasa maporomoko ya kalambo falls yaliyopo sumbawanga wilaya mpya ya kalambo matai huko yana fall drop ya mita 235 kutoka juu na mto huu haukatiki yaani kukauka.

Ktk afrika inasemekana ni fall ya pili kwa urefu baada ya ile ya ethiopia ambayo nayo chanzo ni maji ya mto nile utokao nchini mwetu.
Kuna maajabu mengi ktk kalambo falls yaani kutokana na drop kuwa ndefu kushuka chini maji hugeuka kuwa mvuke na hivyo pale yanapostahili kudondokea waweza kukaa kabisa pale na usilowe.

Maajabu haya jamani.Mto huu unamwaga maji yake ziwa tanganyika.
Huwezi kuamini wazambia kwa wivu wamesogea pale mpakani wakiwa na,watalii kibao wanajipatia pesa nyingi wakidai kalambo falls ni ya kwao kama ilivyo mlima kilimanjaro kwa wakenya.

Jamani aliyepewa kapewa usimuonee wivu.
Serikali ya Tanzania acheni kulala tegeni umeme wa maji pale tuepukane na mgao wa umeme pia boresheni utalii yale maporomoko yawe hifadhini yaani pori la kalambo ligeuzwe kuwa hifadhi hadi mwambao wa ziwa tamganyika ili tuone jeuri ya wazambia kushinda pale na wazungu kuwadanganya kuwa ni zambia pale.
Kalambo.jpg
 
Hii Nchi ni tajiri kila idara Isipokuwa Watu wake, maana wengi ni MAMBUMBUMBU. Nimewahi kutembelea Udzungwa, Ruaha, Ngorongoro, Manyara, Serengeti, Mikumi, Kilimanjaro n.k katika hifadhi za Taifa na sehemu kadha wa kadha kwenye Machimbo ya Madini. Nilichokiona Sikuamini kama hivyo vyote ni Rasilimali yetu.

Nikagundua kuwa shida ni UMBUMBUMBU WA BAADHI YETU.
 
Duh...! Sasa kama hayo maji yanageuka mvuke, na mtu anaweza hata asilowe, yatawezeje kuzungusha mitambo ya umeme?
 
Huwezi amini kila kitu kizuri kipo Tanzania,mlima mrefu upo Tanzania,madini adimu Tanzanite yapo hapa.
Kuna shida kuu ya umeme Tanzania tanesco wanahaha namna ya kuwaridhisha wananchi kwa kuwaepusha na mgao wa umeme bila mafanikio.

Lakini sasa maporomoko ya kalambo falls yaliyopo sumbawanga wilaya mpya ya kalambo matai huko yana fall drop ya mita 235 kutoka juu na mto huu haukatiki yaani kukauka.

Ktk afrika inasemekana ni fall ya pili kwa urefu baada ya ile ya ethiopia ambayo nayo chanzo ni maji ya mto nile utokao nchini mwetu.
Kuna maajabu mengi ktk kalambo falls yaani kutokana na drop kuwa ndefu kushuka chini maji hugeuka kuwa mvuke na hivyo pale yanapostahili kudondokea waweza kukaa kabisa pale na usilowe.

Maajabu haya jamani.Mto huu unamwaga maji yake ziwa tanganyika.
Huwezi kuamini wazambia kwa wivu wamesogea pale mpakani wakiwa na,watalii kibao wanajipatia pesa nyingi wakidai kalambo falls ni ya kwao kama ilivyo mlima kilimanjaro kwa wakenya.

Jamani aliyepewa kapewa usimuonee wivu.
Serikali ya Tanzania acheni kulala tegeni umeme wa maji pale tuepukane na mgao wa umeme pia boresheni utalii yale maporomoko yawe hifadhini yaani pori la kalambo ligeuzwe kuwa hifadhi hadi mwambao wa ziwa tamganyika ili tuone jeuri ya wazambia kushinda pale na wazungu kuwadanganya kuwa ni zambia pale.
View attachment 500073
Nchi hii ina utajiri mwingi na vivutio vya kutosha kwa watalii, mikoa hii ya Rukwa na Katavi imezungukwa na mbuga za wanyama lakini havitangazwi saana. Katavi yenyewe ina tembo wakubwa sana, kuna visiwa vilivyojengwa hoteli na watu wa wanje na sidhani hata tunapata kodi ipasavyo, mfano kisiwa kilicho jirani na kijiji cha kipili. Mapori na mbuga za wanyama zipo za kutosha.
Matema beach pia kuna water falls nzuri zinavutia, kutembea hadi kuzifikia ni utalii pia. Kuna mambo mengi mazuri Tanzania ambayo nchi nyingine zinauma meno yangekuwa kwao.
Wanaohusika na utalii wanapaswa kuongeza juhudi na ueledi wa kuitangaza Tanzania na vivutio vyake
 
Hii Nchi ni tajiri kila idara Isipokuwa Watu wake, maana wengi ni MAMBUMBUMBU. Nimewahi kutembelea Udzungwa, Ruaha, Ngorongoro, Manyara, Serengeti, Mikumi, Kilimanjaro n.k katika hifadhi za Taifa na sehemu kadha wa kadha kwenye Machimbo ya Madini. Nilichokiona Sikuamini kama hivyo vyote ni Rasilimali yetu.

Nikagundua kuwa shida ni UMBUMBUMBU WA BAADHI YETU.
uko sahihi mkuu,
 
Ukweli ni

Hii kitu IPO mpakani

Tanzania. Uaona kwa juu kama kuchungulia kwa chini

Zambia unaiona vizuri maporomoko ya maji

Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni

Zambia in view vizuri
 
Back
Top Bottom