usibishane na wataalamu

ustadhijuma

JF-Expert Member
Jul 20, 2015
3,020
1,968
Jamaa alikuwa anaumwa sana, mkewe akamwita daktari, alipofika akamkuta jamaa kafumba macho;
Dokta: Huyu mbona amekwisha kufa?
Jamaa: Sijafa bwana
Mke: Hebu nyamaza bwana acha kubishana na wataalamu.
 
Back
Top Bottom