muvangulumemile
JF-Expert Member
- May 25, 2020
- 607
- 832
Usichanganye ngono na pesa basi ukasema mapenzi na pesa hivi ni vitu viwili tofauti jamaa.Ukiwa na hela utatapa ngono kwa mwanamke yoyote lkn hautapata penzi kwa mwanamke yoyoteNani huyo kakudanganya zaidi? Mapenzi na pesa ni kama samaki na maji.
Wakulungwa wanasema "Mapenzi si PESA ila zikipungua na mapenzi YANAPUNGUA" tafuta pesa, narudia tafuta fwedha upunguze kujieleza kwa wanawake shida zako za maisha na hatokuelewa kamwe, pesa ni shortcut ya kujielezea eleza hovyo kusikokua na mpangilio.