MuuzaStudyMaterials
JF-Expert Member
- Aug 15, 2018
- 408
- 454
- Thread starter
- #21
Nyie ndio wale tunasemaga '.....you can be a good doctor, a good engineer, a good pilot but you can never understand the world'.Mkuu we umeajiriwa au umejiajiri
Nyie ndio wale tunasemaga '.....you can be a good doctor, a good engineer, a good pilot but you can never understand the world'.Mkuu we umeajiriwa au umejiajiri
Mkuu nimeishia la Saba B, siwezi nikaelewa hicho kidhungu mi nimekuuliza kiroho safi ili unipe mwongozo sasa mjomba umeanza kutema kidhungu, dahhNyie ndio wale tunasemaga '.....you can be a good doctor, a good engineer, a good pilot but you can never understand the world'.
I can see una roho ya kwanini. Sema ukweli mkuu naongopa? Mfano km nimeandika blah blah na unaona hazikuingii si unapotezea tu, ama zingekuingia zaidi km nimejiajiri? Ukiambiwa hii dawa inatibu malaria, unamuuliza aliyekwambia wewe imewahi kukutibu? Unafahamu kuhusu research?Mkuu nimeishia la Saba B, siwezi nikaelewa hicho kidhungu mi nimekuuliza kiroho safi ili unipe mwongozo sasa mjomba umeanza kutema kidhungu, dahh
sjasema umeandika blah blah lakini nilitaka ujibu lile swali afu nikuulize maswali kulingana na topic husika na unachojishughulisha nacho na uzoefu wakoI can see una roho ya kwanini. Sema ukweli mkuu naongopa? Mfano km nimeandika blah blah na unaona hazikuingii si unapotezea tu, ama zingekuingia zaidi km nimejiajiri? Ukiambiwa hii dawa inatibu malaria, unamuuliza aliyekwambia wewe imewahi kukutibu? Unafahamu kuhusu research?
Acha usanii wako wewe...!sjasema umeandika blah blah lakini nilitaka ujibu lile swali afu nikuulize maswali kulingana na topic husika na unachojishughulisha nacho na uzoefu wako
Sio usanii hapa tunaelimishana na kubadilishana maujanja tuAcha usanii wako wewe...!
Safi sana, ujasiriamali ni mzuri lakini ni vyema pia tukaambiana UHALISIA, tusione vya elea tujue vimeundwaNina dozi ya hili, siku moja nitashusha!
Pole ndugu mwajira. Utashangaa nimejuaje kama umeajiriwa, ni kwasababu mnahisi tunawadharauHivi vitu vinategemeana yaani walioajiriwa na waliojiajiri tusiubeze upande mmoja, wapo wanaofanikiwa kupitia kuajiriwa na wengine wanafanikiwa kupitia kujiajiri. Pia ninayaheshimu mawazo ya mleta uzi.
Safi sana, ujasiriamali ni mzuri lakini ni vyema pia tukaambiana UHALISIA, tusione vya elea tujue vimeundwa
Nmekuelewa vizuri mkuu!