chivala
JF-Expert Member
- Apr 13, 2021
- 772
- 2,332
Wana JF, pengine baadhi ya wezangu suali langu wanaweza wakalichukulia kuwa mzaha, lakini ni muhimu kujuwa vitu vinavo sababishwa na afya au maradhi mwilini mwetu ukiwemo "USHUZI" kitendo hiki cha kujamba kila binadamu na baadhi ya wanyama wanacho, tafauti ni uchuzi unaonuka na unaonuka.
Suali sasa ni ushuzi unaonuka na usionuka ni dalili ya maradhi au afya?
Suali sasa ni ushuzi unaonuka na usionuka ni dalili ya maradhi au afya?