Kivumishi Kielezi
JF-Expert Member
- Nov 1, 2019
- 1,028
- 2,448
Nasikia wengine wanajambia visado halafu wanafunika kisha wanafungua na kunusa.
Hahahah wakubwa hawajambi ww😅Mkuu kwanza hagaz ni nini? Mbona unanitukana wewe🤔 wewe mwenyewe unaviachia sana vile viyusufuuuuu uongo?😀
Yaani umenijibi utadhani Mimi ni katoto sn hata kwenye mkono sijai..au wewe ni mheheKaongoo unaachia huko
Me nipo Mbeya mkuu, I hope one day tutaonana.We uko wapi mimi nipo kikazi huku Sumbawanga mkuu, karibu uuone ukauzu wangu
HahahahaVij
Yani vijana wa siku hizi bana. Nakumbuka enzi zetu tulivyokuwa vijana miakacya 60 na sabin huko yani mzee akijamber mbele ya kadamnasi unawahi faster kujitokeza kudai ni wewe kuilinda heshima yake. Lakini siku hizi mzee akijamber madogo bila aibu ni wewee mzee thadayo
financial services inawezekana, baadhi ya wanyama USHUZI kwao ni zana ya kukabiliana na adui ili wapate riziki, mfano:myama NYEGERE yeye chakula chake ni ASALI basi ili apate ASALI, huwajambia nyuki na ushuzi wake wenye sumu, huwafanya nyuki kufa au kuzirai, ndio hapo anapata nafasi ya kula asaliDuh huo mkuyenge wako uko sawa kweli? Harufu ya ushuzi inavonuka vile unadindaje wewe dunia hii kila mtu na yake kweli
Huyu mnyama ushuzi wake😂😂😂 afu kwenye hiyo picha anachekelea🙌financial services inawezekana, baadhi ya wanyama USHUZI kwao ni zana ya kukabiliana na adui ili wapate riziki, mfano:myama NYEGERE yeye chakula chake ni ASALI basi ili apate ASALI, huwajambia nyuki na ushuzi wake wenye sumu, huwafanya nyuki kufa au kuzirai, ndio hapo anapata nafasi ya kula asaliView attachment 1873673
Kwani uongo wewe si mdogo angu wa 4 huko, acha ubishi mkuuYaani umenijibi utadhani Mimi ni katoto sn hata kwenye mkono sijai..au wewe ni mhehe
Au kuna kitu unataka uninyime🤪🤪Kwani uongo wewe si mdogo angu wa 4 huko, acha ubishi mkuu