Ushuzi unaonuka na usionuka, ni dalili ya afya au magonjwa?

Mleta mada harufu ya ushuzi hutegemea vyakula unavyokula. Ukiwa vegetarian usitegemee kutoa ushuzi unaonuka.

Walaji wa mayai, nyama nyekundu na maharage kuwa wanaongoza katika kinyang’anyiro cha harufu ya ushuzi.
Kanihadisia baba: wakati wa udogo wake alikua na rafiki wa mtoto wa KIBANIANI(hawali nyama) mtoto anapenda nyama, nampa nyama akila, hiyo nyama huko kwao akijamba tu ushuzi unaonuka, ndio hapo wazazi humtabua kuwa kala nyama na kuadhibiwa.
Nikweli kuwa nyama utasababisha ushuzi kunuka!
 
Kanihadisia baba: wakati wa udogo wake alikua na rafiki wa mtoto wa KIBANIANI(hawali nyama) mtoto anapenda nyama, nampa nyama akila, hiyo nyama huko kwao akijamba tu ushuzi unaonuka, ndio hapo wazazi humtabua kuwa kala nyama na kuadhibiwa.
Nikweli kuwa nyama utasababisha ushuzi kunuka!
Hata kinyesi ni hivyo hivyo, ndiyo maana unaweza kulala na ng’ombe na mbuzi ndani lakini huwezi kuvumilia kinyesi cha paka.
 
Suali sasa ni ushuzi unaonuka na usionuka ni dalili ya maradhi au afya?
Kabla hatujaingia kwenye undani wa mada, tuanze na wewe kwanza ....

Hivi Mkuu, wewe huwa unafurumisha mabomu yanayoachia Carbon Monoxide Gas au Carbon Dioxide Gas?!
 
Mkuu we jiachie tu jamba vyovyote mbona huwa wanasema kutoa mishuzi aina yoyote ndiyo afya yenyewe🤷‍♂️
Umenikumbusha kuna mzungu mmoja ni rafiki yangu alimuomba Masai ambae ni mlinzi wake amshkie ngazi kuna ways alikua anafunga kwenye fance akiwa anafunga si akaachia ushuzi Masai akaachia ngazi akashika pua anasema pyupyupyu kinanukaa mzungu akaanguka anamwambia Masai sorry ,Masai anamuliza mzungu inakulaga wadudu?
 
Back
Top Bottom