ha ha ha mbona ana mimba????
Mkuu kama budget inaruhusu chukua hutajuta.
Itakuwa mimba ya anaempanda tuha ha ha mbona ana mimba????
Zipo za cc 1490, 1790 na 1990Sidhani kama inapita cc 1800 na ukichukulia ni new model ie vvti ulaji wa mafuta ni mzuri.
Hiyo sio gar ni Bulldozer mzee mwenzanguhaifai inakula sana mafuta yaani inatumia lita 23 kwa kilometa moja..haifai kabisa aisee