YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,909
- 51,904
Mbunge ni mchaguliwa na wananchi. Ni vyema kukawa na Transparency anapohojiwa na kamati ya Bunge kwa tuhuma zozote. Wapiga kura wake waone live Haki ikitendeka na bunge.
Kamati ya Bunge ya Maadili iendeshe mahojiano live inapohoji wabunge wenye tuhuma
Kamati ya Bunge ya Maadili iendeshe mahojiano live inapohoji wabunge wenye tuhuma