TODAYS
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 13,744
- 21,191
Katika hali isiyo ya kawaida askali wa kikosi cha zimamoto nchini huko mkoani Kagera wilaya ya Ngara, amefanikiwa kumuokoa mtoto mchanga kutoka kwenye shimo la choo kwa kutimia kamba ambayo ilishikiliwa na wananchi ili aweze kuingia shimoni kumtoa mtoto huyo.
Hapa chini ni kipande cha sinema kikionyesha tukio hilo, ila mtu yeyote anayemfaham askali huyo hebu PM nimcheki kwa pongezi kidogo.
NB: Pamoja na ukosefu wa vitendea kazi kama tunavyoona kwa mabeberu ila jamaa katumia taaluma yake ipasavyo na wananchi kumpakampani iliyotakiwa 👏👍.
UPDATE:
Kopro Denis ambaye aliyemuokoa mtoto anayekisiwankuwa na umri wa mwaka mmoja, amefanya maamuzi ya kipekee kwa kuamua kumchukua mtoto aliyemuokoa ili awe mmoja wa familia yake na kusema atamlea na kumpa huduma zote kama mtoto wake.
PICHA 👇:
Binti akiwa na furaha pamoja na afya inayoendelea kuimarika, picha inayofuatia chini akiwa amebebwa na mwanafamilia huku Copro Denis akiwa pembeni.
Picha kwa hisani ya Ukwaju.
Hapa chini ni kipande cha sinema kikionyesha tukio hilo, ila mtu yeyote anayemfaham askali huyo hebu PM nimcheki kwa pongezi kidogo.
NB: Pamoja na ukosefu wa vitendea kazi kama tunavyoona kwa mabeberu ila jamaa katumia taaluma yake ipasavyo na wananchi kumpakampani iliyotakiwa 👏👍.
UPDATE:
Kopro Denis ambaye aliyemuokoa mtoto anayekisiwankuwa na umri wa mwaka mmoja, amefanya maamuzi ya kipekee kwa kuamua kumchukua mtoto aliyemuokoa ili awe mmoja wa familia yake na kusema atamlea na kumpa huduma zote kama mtoto wake.
PICHA 👇:
Binti akiwa na furaha pamoja na afya inayoendelea kuimarika, picha inayofuatia chini akiwa amebebwa na mwanafamilia huku Copro Denis akiwa pembeni.
Picha kwa hisani ya Ukwaju.