USHUHUDA: Watanzania tuwe wakweli juu ya ufugaji wa kuku

Ndugu ni kweli kabisa mimi nimejenga banda dogo na store imetumika si chini ya mil 2.7 na ndio nimeanza kununua kuku wa bei rahisi vijijini ila si kazi nyepesi
Tanzania kuna upotoshaji mkubwa sana, wengi wetu ni waongo waongo sana. Penye ukweli tunapindisha.

Ili ufuge kuku wa kienyeji, tena kwa banda la hali ya chini kabisa, ni lazima uwe na vitu vifuatavyo :-

(Kwa banda la mita 9 kwa mita 3)

1. Eneo la kutosha kwa ajili ya banda

2. Muda wa kutosha kuwahudumia kuku

3. Uwe na mtaji wa siyo chini ya Milioni 1.5 kwa ajili ya kujengea banda tu

Gharama ya fundi siyo chini ya laki 1.5 , mabati used siyo chini ya mabati 15 @ 8,000 TZS , matofali ya kuchoma 800 300 TZS, misumari ya bati 2 kg @ 5,000 TZS , Binding wire , bawaba , cement 12 bags , kufuli 1 @ 5,000 TZS , kitasa 1 @ 4,000, mbao ( 2 x 2 , 3 x 2 ) 800 Rft , mirunda 12 @ 5,000 TZS , Chicken mesh 1 Roller 80,000 TZS , Wavu mgumu 2 Rollers @ 12,000 , usafiri na mengineyo madogo madogo.


4. Uwe na walau laki 3 za kununua kuku wakubwa wanaokaribia kutaga

Ikumbukwe tu , kuku 1 ni kati ya TZS 10 - 15,000


Watanzania tuwe wakweli , tuache uongo na ushabiki wa vitu tusivyovijua kwa vitendo.
 
Nimeongea ukweli mkuu nina fuga hao jamaa ni balaa Angalia picha apo ni saa moja wamegoma kuingia ndani wana juwa wakishaingia tu ndio mwisho wa kula.
Ka toto ka bata ka miezi 3 kanaweza kula sawa na Kuku wa 2 sema na usipo wapa msosi wana angaliaga kwa huruma kama vile ume mnyima mtoto pipi ukala wewe!
View attachment 972258
Sema uzuri wa bata nyama sio tatizo kabisa kama ilivyo kwa kuku unaweza fuga kuku ukakosa wa kumla bata hukosi nyama hata siku moja!
Kuku unaweza kusema dah huyu Ana Angua sana au ana taga sana bata wote sawa ukichukuwa kisu atakaye jilengesha unaondoka naye bila kuangalia ni mweusi au mweupe labda useme bado nina penda kumuona!
Ukifuga Bata vizuri ukawa na kajiko kapisa!
View attachment 972276
Ni kweli bata wanakula sana tena sana@ embu nisaidie kitu mkuu mabata yangu madogo wanakufa ovyoovyo wana km miezi2 hivi walikuwa20 sasa wako 10 ,hiyo ni ndani ya siku3 tu
 
Hahaaaa nilipewa dili la kufuga bata nikajenga banda nikanzungushia eneo langu chicken wire nikanunua bata km kumi nikaanza kuwalisha ebhana wakafika 80 nia yangu wafike 100 niuze ikaja mvua ikapiga ile mbaya sikua najua mvua na bata hazipatani walikufa bata km hamsin kumbuka hao nilikua nanunua gunia la pumba kila wiki plus cost za ujenzi wa banda nikajikuta nimebaki na bata wadogo 18 na wakubwa 12 nilishikwa na hacra nikawagawa tu.Sasa hivi nafuga kuku wa kienyeji siwazingatii kivile ila naona wamekubali nao km 32.Ufugaji bila kujipanga ni hasara na tafuta mtaalamu sio hao waongo wa kwenye mitandao akufundishe kabla ya kuanza ufugaji.
Bata na mvua hawapatani vipi wakati wanapenda maji? Then walizolewa na maji au baridi iliwaua?
 
Nimepoteza kuku wengi Sana, Leo hii Tena kwa Wamekufa kumi... Kuku wa kienyeji kabisa, Nakula sikukuu na msiba
 
Ni kweli bata wanakula sana tena sana@ embu nisaidie kitu mkuu mabata yangu madogo wanakufa ovyoovyo wana km miezi2 hivi walikuwa20 sasa wako 10 ,hiyo ni ndani ya siku3 tu
Wapo na mama yao au wapo wenyewe!?
Jambo muhimu kuliko vyote zingatia hawapati unyevu nyevu wowote kwenye mwili wao wasiwe wana chezea maji kabisa wasiwe wana lala sehemu yenye maji kabisa!
Me siwapagi dawa yoyote bata na wana zaliana Sana Adi sasa hivi nimesimamisha kuwapa mayai wakitaka tuna kula!
Maana wana taka kunizidi speed ya kulelea vifaranga!
Zingatia pia usijaribu kuwapa vifaranga wadogo pumba wata kufa Sana pia usichanganye chakula na maji, maji yakae kivyake na chakula kivyake!
 
Wewe unaishi kijijini,kuku wanalala jikoni¦¦¦¦¦ alafu kuku 50 siwanaaribu mazingira kama wanazurura watatifua mauwa ya jirani, bustan za mboga zilizopo kwa majirani na utakuwa ni mtu wa kugombana na maji ran daily... Kuku wa kienyeji awana faida kama tunavyoaminishwa kuku hadi afikishe miez mitano au Sita ndio anataga Tena mayai ayazidi 15.
Aonavyo mtu nafsini mwake ndivyo alivyo!
 
Siku utakayoacha uwoga ndio siku utayoona faida kwenye mradi unaoufanya,hakuna biashara isiyo na changamoto,jifunze kwa kina uyapate maarifa ya kutosha juu ya mradi unaotaka kuufanya,usifanye haraka kwa kua fulani anafanya amepata faida au ulisoma mtandaoni kuwa biashara fulani inalipa ukashawishika...cool down
Kubali kuzipokea changamoto within the process,maisha ya biashara sio horizontal,ila pia wakati unafikiri kusitisha mradi fikiria kwann ulianza?
Mwisho tambua "huwezi kwenda peponi bila kufa"
Sheikh 23
Hapo kwa bold! Big up
 
Nimeongea ukweli mkuu nina fuga hao jamaa ni balaa Angalia picha apo ni saa moja wamegoma kuingia ndani wana juwa wakishaingia tu ndio mwisho wa kula.
Ka toto ka bata ka miezi 3 kanaweza kula sawa na Kuku wa 2 sema na usipo wapa msosi wana angaliaga kwa huruma kama vile ume mnyima mtoto pipi ukala wewe!
View attachment 972258
Sema uzuri wa bata nyama sio tatizo kabisa kama ilivyo kwa kuku unaweza fuga kuku ukakosa wa kumla bata hukosi nyama hata siku moja!
Kuku unaweza kusema dah huyu Ana Angua sana au ana taga sana bata wote sawa ukichukuwa kisu atakaye jilengesha unaondoka naye bila kuangalia ni mweusi au mweupe labda useme bado nina penda kumuona!
Ukifuga Bata vizuri ukawa na kajiko kapisa!
View attachment 972276
Mkuu huu upuzi wako utakujafanya watu tuonekane wehu


Yaani inshu ni sirazi saana lakini wewe unaizungumzia ki komedi komedi.
 
Tanzania kuna upotoshaji mkubwa sana, wengi wetu ni waongo waongo sana. Penye ukweli tunapindisha.

Ili ufuge kuku wa kienyeji, tena kwa banda la hali ya chini kabisa, ni lazima uwe na vitu vifuatavyo :-

(Kwa banda la mita 9 kwa mita 3)

1. Eneo la kutosha kwa ajili ya banda

2. Muda wa kutosha kuwahudumia kuku

3. Uwe na mtaji wa siyo chini ya Milioni 1.5 kwa ajili ya kujengea banda tu

Gharama ya fundi siyo chini ya laki 1.5 , mabati used siyo chini ya mabati 15 @ 8,000 TZS , matofali ya kuchoma 800 300 TZS, misumari ya bati 2 kg @ 5,000 TZS , Binding wire , bawaba , cement 12 bags , kufuli 1 @ 5,000 TZS , kitasa 1 @ 4,000, mbao ( 2 x 2 , 3 x 2 ) 800 Rft , mirunda 12 @ 5,000 TZS , Chicken mesh 1 Roller 80,000 TZS , Wavu mgumu 2 Rollers @ 12,000 , usafiri na mengineyo madogo madogo.


4. Uwe na walau laki 3 za kununua kuku wakubwa wanaokaribia kutaga

Ikumbukwe tu , kuku 1 ni kati ya TZS 10 - 15,000


Watanzania tuwe wakweli , tuache uongo na ushabiki wa vitu tusivyovijua kwa vitendo.
UFUGAJI WA KUKU IWE WA KIZUNGU AU WA KIENYEJI NI GHARAMA SANA ILA HAWA MNAO WAITA MOTIVATION SPEAKER WANAWAHARIBU WATU SANA MM NI MFUGAJI WA KUKU WA KIENYEJI KUNA CHANGAMOTO NYINGI SANA JAPO UVUMILIVU HUTAKIWA ILA SI HABA KUKU 250 SASA NA MAYAI YA KUTOSHA
 
Aonavyo mtu nafsini mwake ndivyo alivyo. Karibu kituoni kwetu nikupeleke sehemu ninapofanyia shughuli hizo uone kwa macho yako. Sifichi chochote kwa sababu najua watanzania ni wazembe kutenda. Hata ukiona najua hutakuwa mshindani kwangu kwa sababu tayari umelemaa fikra.
Kadri tunavyozidi kwenda mbele , siwafichi watanzania tutaingia kwenye viumbe wa ajabu duniani. Safari yetu imeanza hivi.
1. Walio na ajira kila siku wanaimba kuacha kazi
2. Wasio na ajira wanatembea na bahasha kila siku kuzitafuta kazi.
3. Huku kwenye ujasiriamali nako ni vilio, mtu anataka afanye kazi asubuhi apate chake saa nne.

Mbaya zaidi tunatoa alama kubwa katika nafasi ya kushindwa bila kuchukua hatua.

Mtu anaanza mradi kichwani ana mawazo ya akina Steve Job bila kujiwekea muda.
 
Bata hawali sana kuku ndio noma wanakula mafala hatari
Huwajui bata wewe

Hanaga muda kwanza huyu fara, usipozima taa utamkuta mida ya saa nane unaweza mkuta anapiga mbizi kwenye misosi
Ana kistaili chake akizama kwa msosi anaibuka kulainisha na maji
 
Mkuu huu upuzi wako utakujafanya watu tuonekane wehu


Yaani inshu ni sirazi saana lakini wewe unaizungumzia ki komedi komedi.
Kuwa makini sana pia usifananishe watu me Bata ninao zaidi ya 170+ na si Bata wa aina moja hahahha upuzi unaweza kunionyesha upuuzi nilio andika hapo!?
sijuwi nikipi ulicho waza adi unione nimeandika upuuzi!! Imebidi nirudie kusoma broo kuwa makini sipo hapa kufurahisha genge pengine mimi siyo mtu wa aina yako kabisa!! Me nipo hapa kuwambia watu kile nikijuwacho kwa 100% sasa usifanye watu tuwe wavivu kuwapa watu marifa tunayo ya juwa japo kwa uchache!
Tafadhali sana sana usifananishe watu wala usitumie kilevi kama kina kufanya ukaona mandishi kinyume nyume au kama kina kufanya udharau watu usio wajuwa pengine unaweza ona unajuwa kumbe hujuwi kabisa!

IMG_20181226_093615.jpg

IMG_20181118_100730.jpg

Picha zita kufundisha pengine kuwa na busara! ata kwangu ninaweza kuambia uje pengine litakusaidia kutokuwa na hila na mtu usie mjuwa
IMG_20181226_095704.jpg

IMG_20181112_075029.jpg

IMG_20181120_134140_108.jpg

Busara ni kitu kidogo sana lakini chenye dhamani kubwa sana kwenye maisha!
Bahati mbaya sana ninagekuwa nyumbani ningepiga picha nikiwa na bata wote ili watu wakujuwe na pengine iwafundishe wengine
 

Attachments

  • IMG_20181226_093642.jpg
    IMG_20181226_093642.jpg
    430 KB · Views: 91
  • IMG_20181118_095857.jpg
    IMG_20181118_095857.jpg
    346.5 KB · Views: 82
Kajitu kanagongea rimoti ya tecno kanaingia mtandaoni akisoma ufugaji wa kuku anafikiri ni kupika maandazi izo garama hapi juu bado chakula na madawa na vyombo vya chakula na maji ya bahari mimi mwenyewe mfugaji og
Maji ya bahari ya nn tena?
 
Kweli kabisa mkuu nilipoanza kutengeneza banda nilishangaa mbona gharama kubwa hivi nikawa naona pesa inaenda tuu tofauti na wahamasishaji. Ila namshukuru Mungu sikukata tamaa nilikomaa mpaka nikamaliza na sahizi najipanga kuongeza banda lingine.
 
Back
Top Bottom