Ushuhuda wangu: Mimi ni muathirika wa HIV (HIV Positive)

Hapana, sijasema hivyo. Good thing ni kwamba all of them ambao nimekutana nao wako vizuri sana kwa bed. They real know what a woman want. So kuepuka mambo fulani fulani sitaki kutoka nao tena.

Niunganishe nao basi mamdogo. Hata mmoja tu.....

Btw, pole na hongera kwa kuwa muwazi, ni step moja kubwa sana ya kuiokoa jamii yako.
 
Umemalizia vyema mkuu, ukimwi upo, ila ukiwa na nidhamu ya Maisha utaishi Maisha marefu sana. Nina ushuhuda wa ndugu yangu, amekuwa positive tangu mwaka 1999 hadi leo yupo, katika afya njema kabisa. Wakati anaathirika, mtoto wake wa kwanza alikuwa kidato cha kwanza na mtoto wake wa pili alikuwa shule ya msingi. Leo hii watoto wake wamehitimu vyuo vikuu, wameolewa wote, yeye mwenyewe kasaidia ndugu zetu wengi sana, na ukimuona leo huwezi amini.... Naiona hii kwako, utaufikia uzee wako kwa Amani kabisa...
 
Pole sana mkuu, mimi kitu cha cha kwanza kabla sijakugegeda lazma nikupime damu Aiseee.
na pia una ujasiri sana mdada, hivi mimi nikiambiwa muathirika si nitaanza kutembea uchi barabarani, inahitaji moyo wa ziada aisee

Haya mambo yasikie tu aisee ila Mungu ni mwema tunajifunza
 
Mtu mwenye ukimwi hawezi kupata nguvu na ujasiri wa kuandika maneno yote haya Wala hawezi kujitangaza hadharani watu wamjue. UKIMWI usikieni tu mwenye nao hawezi kujianika hadharani hata siku moja..Wanaofanya hivyo ni promo tu lakini in real sense hawana so l guess mleta mada ni mtumishi katika idara ya kuzuia na kupambana na virusi vya UKIMWI kitengo cha uelimishaji wa maambukizi mapya ya VVU...Hapa amevaa uhusika kwa lengo la kutufikishia elimu ya matumizi ya kinga wakati wa kujamiiana, Tumshukuru sana kwa elimu aliyoitoa

Watu wenye akili kama zako nawajua,
Wengi wao ni shallow
Pia husema watu wenye hella nyingi hawawezi kukaa kupoteza mda kuwa JF
 
safari moja miaka ya 2009/10 hivi nikiwa katika safari ya kikazi nikitokea mikoa ya kusini kuelekea mkoa mmoja wa kaskazini niliweka kituo dar es salaam muda wa kurejea zangu kusini baada ya kukamilisha shughuli zangu.

baada ya kukosa kiajabu ajabu totoz la kunipoza kaskazini sasa dar ikawa ni lazima nipozwe, nilipata nyama choma mbuzi na castle lager kadhaa sasa pale pub nilipata totoz na hapo siku ya pili alfajiri ilikuwa nianze safari nikitokea pale stand ubungo kuelekea mkoani.
kwa uchu niliokuwa nao nilihakikisha hanipotei, nilimdhibiti vema na nikamnunulia vinywaji na chakula.

muda wa kufunga pub nikatoka nae haraka haraka hadi guest house nilipofikia, zana nilikuwa nazo lakini nafikiri zile pombe.
Round ya kwanza ilienda fresh, sasa round ya pili nikahisi raha zimeongezeka nikamaliza sasa ndio nashtuka kondom ilipasuka... dah

niliingiwa na hofu kubwa sana, sikulala hadi asubuhi na mapema nikadamka na kumpa pesa yake.
kwa kweli nilisafiri nikiwa na mawazo tele ukizingatia nilikuwa bado single.
hii hofu ilichangiwa na ukweli kwamba ilikuwa mara ya pili kondom kupasuka nikiwa mitungi na sikuacha namaliza. hii mara ya pili nili'conclude ninao.

baada ya kuishi kwa muda hofu na mashaka tele nikaamua kupima. sasa nilivyokuja kupima na kubaini sina maambukizi ooooh God. nilibadilika sana, hadi sasa nimebadili life style nina familia na watoto wawili.

kwa ufupi sana lkn unapokuwa na mashaka na hali yako kiafya ni vema ukapime


Mzee nisaidie namna ya kuachana na kudinya dinya maana mimi nataka niache kudinya dinya hovyo lakkni nimeshindwa. Yaani mchuchu unadinda kila mara daah
 
Back
Top Bottom