Ushuhuda wangu kuhusu kupona Malaria kwa kutumia mbegu za Mlonge

lazima ukae

JF-Expert Member
May 15, 2013
788
380
Mwaka 2008 wakati naanza mwaka wa kwanza chuo nilikua na Malaria ya kujirudiarudia ambapo nilikua siwezi kukaa miezi mitatu bila kuumwa Malaria.

Nilikua sina raha nikiwaza kuhusu huu ugonjwa uliokua unanisumbua bila kujua nini ufumbuzi wake.

Mwaka jana mwezi wa tatu nikaona ngoja niingie google nitafute tiba za asili za kutibu Malaria, ndipo nilipokutana na mada mbalimbali za jamiiforums zinazohusu tiba ya Malaria.

Nikawa najaribu kupitia comments za watu mbalimbali ndipo nilipoona comment ya mtu mmoja humu ambae aliongelea mbegu za mlonge na jinsi ya kuzitumia.

Baada ya kuona ile comment yake nikaenda maduka ya asili nikanunua zile mbegu na nikaanza tiba mara moja.

Hapa ninavyoongea mara ya mwisho mimi kuumwa ugonjwa wa Malaria ni mwaka jana mwezi wa saba mwanzoni.

Kiukweli Mlonge umenisaidia sana na mpaka leo sijiskii kabisa Malaria.Kiukweli nina amani sana
 
Mimi sikumbuki mara ya mwisho kuugua malaria ni lini. Ni kati ya 2014 au 2015. Ni sijawahi kutumia mlonge. Nadhani kinga ya mwili inahusika zaidi kuliko huo mlonge wako.
Mlonge ni tiba/dawa sio kinga.
 
kwa
Mwaka 2008 wakati naanza mwaka wa kwanza chuo nilikua na Malaria ya kujirudiarudia ambapo nilikua siwezi kukaa miezi mitatu bila kuumwa Malaria.

Nilikua sina raha nikiwaza kuhusu huu ugonjwa uliokua unanisumbua bila kujua nini ufumbuzi wake.

Mwaka jana mwezi wa tatu nikaona ngoja niingie google nitafute tiba za asili za kutibu Malaria, ndipo nilipokutana na mada mbalimbali za jamiiforums zinazohusu tiba ya Malaria.

Nikawa najaribu kupitia comments za watu mbalimbali ndipo nilipoona comment ya mtu mmoja humu ambae aliongelea mbegu za mlonge na jinsi ya kuzitumia.

Baada ya kuona ile comment yake nikaenda maduka ya asili nikanunua zile mbegu na nikaanza tiba mara moja.

Hapa ninavyoongea mara ya mwisho mimi kuumwa ugonjwa wa Malaria ni mwaka jana mwezi wa saba mwanzoni.

Kiukweli Mlonge umenisaidia sana na mpaka leo sijiskii kabisa Malaria.Kiukweli nina amani sana
kwa faida ya wengi humu, tujulishe jinsi ulivyokuwa unatumia, punje ngapi kwa siku, n.k
Mlonge unatbu mpaka ukmwi
 
kwa

kwa faida ya wengi humu, tujulishe jinsi ulivyokuwa unatumia, punje ngapi kwa siku, n.k
Tafuna mbegu za mlonge 3×3×7 na kila unapotafuna mbegu tatu sukumizia na maji lita moja.....Lita moja ya maji sio lazima unywe kwa pamoja lahasha ila unaweza kunywa kdg kdg ilimradi tu uhakikishe mbegu tatu zimeenda na lita moja ya maji


Baada ya hapo juu endelea na hii hapa 👇

Unga wa mlonge kijiko cha chai changanya na maji ya uvuguvugu wa mbali....tumia muda mrefu
 
asante sana mkuu
Tafuna mbegu za mlonge 3×3×7 na kila unapotafuna mbegu tatu sukumizia na maji lita moja.....Lita moja ya maji sio lazima unywe kwa pamoja lahasha ila unaweza kunywa kdg kdg ilimradi tu uhakikishe mbegu tatu zimeenda na lita moja ya maji


Baada ya hapo juu endelea na hii hapa 👇

Unga wa mlonge kijiko cha chai changanya na maji ya uvuguvugu wa mbali....tumia muda mrefu
 
Back
Top Bottom