DLRider
Senior Member
- Mar 5, 2019
- 134
- 143
- Thread starter
- #21
Nilishamwambia wala mimi siko hapa kujiproove to anyone. Nimeamua kukomalia hili suala. Na kuna negativities, lakini I just ignore them, sababu kuna a lot of positives as well. Ndio waAfrica tulivyo. #Sad. Ila thank you brother kwa ushauri wako leo. Truly appreciated. Halafu anasema nawatega WALA MIMI SASA HIVI SIPO TANZANIA,NA SIFANYAGI LONG DISTANCE RELATIONSHIPS, kwa hiyo there is nothing to gain from any woman. Najiandaa ili nikirudi Tz next time, niwe na zana za kutosha za kufanikiwa katika hili. Pia naelewa umuhimu wa kuwa mkweli sababu UKITAKA KUJIFUNZA KITU NA KUPATA USHAURI WA KUKUSAIDIA, ni muhimu uwe mkwei asilimia 100%.Mama mkwe tulizana basi, unamdiss mwekezaji shaulilo!