Shuhuda za namna watu walivyopona tatizo la upungufu wa nguvu za kiume

Ndugu zangu mm nimeamua kujitolea bure kwa ushuhuda nilionao katika vitu nine experience ni kwamba haya ni kama maradh mengine ya stim ama ya spital huwez kumpa ARV mgonjwa wa HIV aloathirika kwa hatua mbaya utamuua huwez kumpa Dawa muathirika was Dawa za kulevya huko soba aloathirika sana utamuua mm nawapenda ndugu zangu mm sijui we umeathirika VP wengine ndo kwanza hata hausinyai uume anawah tu kukojoa nikimpa formula kubwa atachoka jaman musinitukane nafanya hivi kama ahadi yangu nimefatilia haya matibabu binafsi kwasababu najuabsio wote wana pesa wengine wanauza izi formula mm niliambiwa laki 3 jaman msinitukane kwaio mm naiandika hio formula ili musinilaumu hadi SAA 2 itakua nishaieka asanteni

Sent using Jamii Forums mobile app
Ukitaka kuwasaidia wanaume wenzio weka formula hadharani na condition zake. Kila mtu atachangua inayomfaa kwa hali yake. Sorry lakini kwa kuingilia yasiyonihusu. I'm just concerned na hali hi maana hata mie iliwahi kumpata mtu wangu sometime japp sijui kama ilikiwa sababu ya mustab . It's really frustating.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuacha nyeto ni kama kujipa taraka. Au kuoa jirani alafu umuache siku ukiwa na nyege na yeye ndo anakatisha.

Labda nikuambie kitu. Shida ya kuacha nyeto ipo FB. Ukikatiza kwa post tatu ya nne tupia namba nikuunge kwenye group langu la wakubwa tu, basi ukiona tangazo ilo chini kuna lazima iwekwe picha sasa hiyo picha baba angu lazima ukatafute sabuni.

Alamsiki
 
Wakuu Hivi sasa kila KONA utasikia mama Au Mdada akilalamika kuwa mwenzangu yaani kimoja tu CHALI. Ni nini sababu za Msingi zinazopelekea tatizo LA ukosefu wa nguvu za Kiume? Mbaya zaidi naambiwa TIBA YAKE PIA NI ISHU:Hakuna TIBA ya uhakika.
 
Chanzo kikubwa ni kuaminishana imani potofu juu ya uwepo wa ugonjwa huo ambao katika kipindi hiki wanaonekana kama kiitikio cha kwangwaru.
 
Hii kitu inakata hadi kitambi mimi natumia sana tu, pia inaondoa uchovu wa kifalafala, asali + vitunguu swaumu 3 unakunywa na maji kama vidonge kila siku.
 
Habarini wana JF wote natumaini muwazima nisiwe nastori nyingi niende mojakwamoja kwenye mada

Naomba kama ulikua muathirika wa Nguvu zakiume kutokana na Punyeto au maradhi yoyote naukapona naomba uweke mrejesho wadawa uliotumia ukapona tatizo hilo

Nikianza namimi nilikua mpigapuchu mzuri ila nilikua Niki mix napapuch kwamwenzi Mara mbili

Matibabu yalionisaidia

1)Mbegu za maboga (punje 10×2)
2) Ungawasoya (asubuhi na jioni kijiko kimoja kila nikinywa chai au uji)
3) Matikiti maji nakula pamoja na mbegu zake wiki ×4
4 mazoezi ya kegel (asubuhi na jioni)

5) Maji Lita Moja kilasiku
6)Asali ya nyuki wadogo nachanganya navitunguu maji vilivyo kanguliwa kila siku jioni nakula kijiko kimoja na asubuhi

+++NAKARIBISHA WENGINE WATOE USHUHUDA LENGO KUOKOA NDOA ZAWATU++
 
Mm nlidhani umewaletea suluhisho watu wenye maradhi kama presha na kisukari na wale watu wazima
 
Pull ni alternative ya sex ya kawaida..inamalizaje nguvu??

It's only cause psychological problems..
 
Back
Top Bottom